₳₭47🇹🇿
@TheRealTen27
"Befehl ist Befehl" ni maneno ya kijerumani yakimaanisha "NILIKUWA NAFATA AMRIi TU” Ni utetezi uliopingwa vikali na mahakama ya kimataifa wakati kesi maarufu za NUREMBERG(1945-1946) kati ya marekani dhidi ya Maofisa 24 wa juu wa jeshi la NAZI. Threads🧵🧵👇🏻

Good morning wapendwa WHITE DINNER SET KAMA ILIVYO PICHANI TSH 50,000 0755 693 113 📍 DUKA LIPO UBUNGO EXTERNAL, MIKOA YOTE TUNATUMA @Sativa255 @MiriamMkanaka
ZIPO DUKANI TSH 55,000 UNAKUA UNASAGA JUICE YAKO FRESH NYUMBANI😋 0755693113 📍 UBUNGO EXTERNAL
Kuna kitu watu wengi hawajui… Afya ya uzazi kwa mwanaume ikianza kudhoofika, haiji kwa ghafla – huanza taratibu: Mwili kuchoka haraka, kushindwa kurudia tendo, au uume kulegea bila sababu ya moja kwa moja. Wengine hujifanya kawaida, wakidhani ni stress au kazi nyingi. Lakini…
Karibu sana Maasai Herbal Clinic kupata huduma bora za afya
Kuna kitu watu wengi hawajui… Afya ya uzazi kwa mwanaume ikianza kudhoofika, haiji kwa ghafla – huanza taratibu: Mwili kuchoka haraka, kushindwa kurudia tendo, au uume kulegea bila sababu ya moja kwa moja. Wengine hujifanya kawaida, wakidhani ni stress au kazi nyingi. Lakini…
HUDUMA ZETU - Kunyoa Nywele - Kusafisha Uso na Kuondoa Vipele - Kusuka Nywele na Kusafisha Uso kwa Kina - Huduma za kucha za mikono na miguu - Kumpendezesha Bwana/Bibi Harusi kwa ajili ya Harusi Ndio ilitakiwa iwe hivi ama? 🤔
Tumefanikiwa sana kwenye suala la kukitukuza Kingereza. Ndio mana kila mzazi anatamani mwanae asome shule za Kingereza. Tuko sahihi au tunazidi kupotea?
Afya ya mwanaume ni muhimu kama ya mwanamke. Wanaume wengi hupitia changamoto za nguvu za kiume kwa kimya wakidhani ni jambo la kawaida, au ni stress tu za maisha. Lakini ukweli ni kwamba, matatizo haya yanaweza kutibika kabisa. Dalili kuu ambazo hupaswi kupuuza: 🔹 Uume…
Rt
Top 10 Matajiri bongo waliowazidi Messi na Ronaldo 1 Mo dewji thamani ya $2B 2 Rostam Aziz $750M 3 Said salim Bakhresa $600M 4. Ally Awadh (Lake group) $600M Ukiunganisha utajiri wa Messi na Ronaldo bado haufikii utajiri wa Mo dewji. kwnn? @kinlop_ 🧵👇🏽
Majukumu ndio yanatufanya tunakua na sio umri. Good morning..... 🌄🌄
Kuna barua nilipewa na binti miaka ya nyuma "Mimi nimekupenda wewe kukuacha mpaka Ziwa Viktoria lizame au Mlima Kilimanjaro udidimie"
Wasakatonge hatunaga weekend. Amkeni tukapambane tena ✊ Good morning friends 🌄
KUMEKUCHA NA ”ANGA LIKO SHWARI”🚀 🎯WANANGU WA AVIATOR LEO TUPO LIVE 888BET NIMEKAGUA ANGA MAPEMA✅ 🎯LINK YA 888BET, BOFYA UFUNGUE ACCOUNT⬇️ bit.ly/BatistaAviator JISAJILI ULAMBE MTAJI! MVUA YA AVIATOR IPO 888BET🇹🇿 HIGH STAKE ZANGU ZINATOKA HUKO🗽
👉” ANGA LIKO SHWARI ”🚀🚀🚀🚀🚀 🎯WANANGU WA AVIATOR LEO TUPO LIVE 888BET NIMEKAGUA ANGA MAPEMA✅ 🎯LINK YA 888BET, BOFYA UFUNGUE ACCOUNT⬇️ bit.ly/BatistaAviator MAELEKEZO ZAIDI NJOO DM MVUA YA AVIATOR IPO 888BET🇹🇿 HIGH STAKE ZANGU ZINATOKA HUKO🗽
Kulala kwetu kuamka kwetu kuishi kwetu tu ni neema, Tumaini letu li kwako Bwana🙏. Good morning 🇹🇿
Mafanikio Huvutia Maadui. Maendeleo Yanazalisha Wivu. Kama Hakuna Anayekuchukia, Basi Hujafanikiwa Vizuri Maishani.✍️
Tukapambanie maisha yetu na wale wanaotutegemea katika Mungu 👊 Good morning guys from your side.
Yani saivi kila nikidandia daladala lazima nikae na wamama tu😁💔,ikitokea ni mdada basi ana mtoto...... Wa leo kapanda na wawili, mwingine ndio nimepakata😄💔...
Nipo ugenini nawambieje wamechelewesha chai bila kuwafanya wani mind? Sisi wengine tushazoea Kula saa 12 😿😹
Good morning familia...💪💪💪💪 Asanteni sana kwa wish zenu wakuu japo nimekula magimbi kama cake ila nimefurahia kwa wish zenu tu upendo bado upo Duniani🫶🫶🫡🫡🫡
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa... Happy birthday to me..🎉🎉🎉🫶🫶
The only easy day was yesterday😎 Good morning, good people👊
Perfumes za Kiume 4 Bora 1. Genesis 2. One Million 3. Creed Aventus 4. Club de nuit Ongezea Perfume moja tuone?