Bravo
@benjo_tz
ππ’π π¬π’ππ‘ πππ¦π¨π«π’ππ¬,π§π¨π ππ«πππ¦π¬ β β’β’β’I'm a SOCCER fanβ½οΈβ’β’β’ I support π @SimbaSCTanzaniaβ€οΈπ€ & @chelseaFC π
Nimetoka ibadani Narudia kuwaonya Mara ya mwisho vijana mtaacha lini matusi na ku bully watu humu!?
Itungie caption hii picha π π π
Ukija Mjini Usisahau Kuwatumia Wazee Kijijini Hela ya Sukari Ahsante Mwanangu Ina Baraka Kuliko Nimeona baby. Good Morning.
Eti wadau,ni umri gani unaweza kutambua kipaji cha mtotoπ€ Au tusubiri amalize degree,kisha dunia impangie kitu cha kufanya π

Tutafuteni sana pesa wakuu. Ukikosa pesa,hata watoto wanakuona kama unaringana nao tu βοΈ Tazama kauli niliyoambiwa jana na mtoto wa rafiki yangu π "Toka, leo hauli kwetuπ ππ"

Na huu ndo uhalisia Jinsi unavyoongeza marafiki kwenye sycle yako jua kuwa unatengeneza maadui wengi wa kesho #Ainahaja_ya_kuwa_na_marafiki_wengi
Mnasema Dogo rema hajui kuimba sawa Yeye na wakati nani ana Trend pale YouTube
Naomba Mshow #Love kwa Repostππ πSize S_______2XL πBei 27,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 πDuka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Jeans quality sana hizi hapa unakosaje sasa sio za kukosa Size 30 to 40 Bei 25000 Delivery ipo mikoani na dar unalipia Whattsapp 06 227 54484 kwa order yako
Naomba Repostπ #VIATU BORAποΈποΈ β Size 40/41/42/43/44/45 β Bei 75,000/= Wa.me/+255623346245 πKariakoo
Katika maisha usije kurudi sehemu ambayo ulipoteza tabasamu lako.
Unapolitaka jambo kwa dhati, pigania. Usikate tamaa hata kama kila kitu kinaonekana kuwa hakina matumaini. Na pale utakapoanza kupoteza imani, jiulize: βMiaka 10 kutoka sasa, nitajuta kwamba sikujaribu mara moja tena?.βοΈ Good morning, FAM π€
Before Anything, Pray..π€²π Good morning my lovely friendsπ
Umeskia Bro, maisha ni mafupi sana utachelewa kufanikiwa kama kila kitu unataka ufanye wewe mwenyewe Sometimes tafuta watu ambao walishapita kwenye njia yako unayopita Walipe PESA, ili wakupatie MAARIFA ya kukusaidia kuvuka haraka hapo ulipo.
Wasakatonge hatunaga weekend. Amkeni tukapambane tena β Good morning friends π

Majukumu ndio yanatufanya tunakua na sio umri. Good morning..... ππ
Tupambane, muhimu tusisahau kuishi π Goodmorning X family **Bei na maelezo kwenye comment π