Rastafarian culture
@Ireneigora
Take it Easy I didn't mean to hurt you 🧎🤥
Siku kama ya Leo miaka 26 iliyopita nlizaliwa Happy birthday to me 🎉🎉🎉

Ila Congo 🙌kuna mwanangu wakati anarudi nyuma rivasi kagonga Nguzo ya Umeme nayo haijapinda wala ni kaikwaruza Tu wanataka dollar 300
Mi na Elimu yangu ya la 4A Mradi wa Mwendokasi nikipewa nauendesha vizuri Tu walifeli wapi jamani 🤔🤔🤔kuna vitu vinafikirisha
Unakimbia huku umelewa naam 😑
Marathon wanatangaza bia. Lol. Alright
Ukiwa mweusi hupendezi kuvaa wigi feki Amini nawachana mnatutisha Sana kama huwezi afford Ka human hair Ka kuanzia 100k suka njia mbili Tu utapendeza na utaonekana natural sio unavaa Wigi linaonekana kama 📐 triangle kichwani 😂💔
Nimechoka Nimechoka Nimechoka Kuanzia sasa Sitasambaza Cvs Maana Ni kama Ndugu Zangu Wamenifanya Msukule...Wao wanatoboa Mimi nipo tu Tukutane Sumbawanga 🥥
Leo tuna #BreakinNews nyingi sanaa kama mchanga Tukutane sa mbili hapa hapa X Space kwa @MissChelsea1221 @FKihamu @PKishamba @PresenterNoah #UkikosaUtaliaSana
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika leo tarehe 25 Julai 2025, katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mtumba, jijini Dodoma. Viongozi waandamizi wa…
Limited Time Offer 30% OFF! Be part of history at the Africa Bitcoin Conference: Diaspora Edition this August in Boston, USA! Join visionaries, innovators, and changemakers from across Africa and the diaspora as we connect, collaborate, and shape the future with Bitcoin and…
Sala ya mtakatifu Rita wa Kashia ya Masaa 15 🙌Unakuwa hata Lisaa la 6 hujafika mambo yanaitika
THE LAST GLASS OF RED WINE: Thread ✍🏻Ukiwauliza swali rahisi juu ya nani beki bora wa mpira basi pale Simba watakuja na orodha ndefu mithiri ya treni la Kigoma humo ndani watampa seat Masatu, Owino na wengine walioishi zama za Leodigar Tenga kwanza wahurumie kisha watizame👇🏾
Nilitapeliwa Milion mbili (2M) Kimazingara Kariakoo na wajanja wa Town siku niliyoenda kununua Flat Tv inchi 65. Nililia kama mtoto baada ya kuja kuzinduka nimechapwa. Sitakuja kusahau uhuni ule ulioniacha na donga la maumivu moyoni nikabaki naweweseka...😭💔
Project ya SGR tumpe kabisa mwendeshaji mwingine ambaye ni kampuni binafsi kabla maroroso hayajaanza kutoka kwa msimamizi wa sasa ambaye ni Jamhuri.
Saa Tisa usiku nikishituka usingizini 👇 iPhone 17 million 4 Kiwanja Mlandizi million 2 hapa napata viwili kabisa Samsung A06 ni 300k Au basi nitafute hela Tu 😂


Hiki chakula nimepika sioni kikifika usiku itabidi nifyeke huu ubwabwa nusu na maharage yake usiku ntapika Ugali na dagaa nibajeti Kula kwani mi mwanachuo 😹😹😹
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Lindi imekamilisha ujenzi wa daraja la Mbwemkuru lenye urefu wa mita 75 na kufungua barabara ya Ruangwa-Nangurugai- Kiangara-Mirui-Mbwemkuru yenye jumla ya Km 65. #OktobaTunatikiSamia
Bachela hapa naishi siku mbili 😋Wageni labda mje na msosi wenu

NGUZO KUU YA TATU DIRA YA TAIFA 2050 Nguzo ya kuu ya Tatu ya Dira ya Taifa ya maendeleo 2050 inalenga kulinda na kutumia rasilimali za asili kwa njia endelevu, kuimarisha uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kupitia…
💨Hawa redmi wanataka simu zao zisambae kila kona ya dunia kwa sasa. Kila mwezi wanakuja na simu mpya hii hapa Redmi Note 14 SE itakayozinduliwa 28 mwezi huu katika soko huko India Itakuwa na features zifuatazo - 120Hz AMOLED panel with 2100nits brightness - Dimensity 7025…
Mi mkiweza nisaidie hela ya kunywa Bia Tu Leo 😂😂😂
Ungesaidiwa lakini kwenye post zako unaonyesha umeshatoboa tayari 😁