Timber TZA
@Timbertzaa
Content Creator || https://www.instagram.com/reel/DGkfv3dMjD8/?igsh=MTlqZWg2bTZiam9jMg==
Biblia Kutoka 15:23 "Walipofika mahali palipoitwa Mara hawakupata kuyanywa yale maji ya Mara, kwa kuwa yalikuwa machungu; kwa ajili ya hayo jina lake likaitwa Mara". Good Morning watu wa Mkoa wa MARA

Mfalme Zumaridi aliyefika mbinguni huko na kurudi kueneza injili japo watu wwnakupinga ila inafaa upewe heshima yako

Kama huu ndio uchezaji wa Mfaume mfaume basi afute haraka sana kauli za kusema anampiga mwakinyo 🤞.
Vitasa vyenu uhuni tu, Kumamae mtu round zote 1-8 kapigwa mnampa ushindi wa nini? Tunajidanganya tu ila ukweli Mfaume kabondwa sana 🚮
Huyu bondia kweli!?, mbona kama mfaume mfaume kapewa mmasai?, hii nchi janja janja sana ndio maana tukienda nje ni kukandwa tu😂🔥
SWALI GUMU SANA HILI Ikiwa Aishi Manula ana miaka 29 tafuta umri wa mtoto wake Rehema Manula unayemuona hapo ambaye amehitimu Chuo.... Haya tuliosoma Mathematics tumwagike hapo chini kwenye comment
Hapa kwenye kutumixia michezo na Sia sa, ndio huwa mimi namind🤒💔.
Boda Boda nchini Uganda wakiwa kwenye kijiwe wakisuburi abiria usiku mzito na kuuchapa usingizi juu pikipiki zao. Usikate Tamaa , Safari Bado inaendelea.
Mtu unamtania kuwa unampenda ye anazama mazima Anaanza kukusumbua anasema unamtesa 🙌
Hizi foil zinatunza joto nimetoka na chakula tokea kgamboni had nafika tegeta nyuki bado cha moto 😅😅🔥🔥
Mwanaume epuka kujichubua maisha huwa yanabadilika, Siku yakibadilika tunakupita hatukukumbuki unasema dharau kumbe tumekusahau..🙆♂️😃
Sawa,,Hailey kanipokonya Justin bieber wangu. Sina kisu kikali.😒 Basi ata copy yake hamna. China wanafeli wapi😂😂😂
Nipo kwenye pool table hapa tabata bima: Jamaa anasema mke wake aliondoka na hati yao ya nyumba na kinyemela anaenda kukopea benk nyumba hiyo Tsh 50M akatoroka , Baada ya kumpeleleza jamaa kumbe alioa Mwanamke mwenye mtoto ⚠️ amesepa karudu Kwa X wake.
Ama kweli utu uzima dawa. Mimi leo hii wa kutokwenda disco. Nalala nyumbani jioni naota jua😂😂