MJUKUU
@WideEdson
-CONTENT CREATOR -KUKUA KIAKILI ๐ง -FOOTBALL FAN โฝ -MY FAVORITE TEAMS ๐ดSimba Sc ๐ด Man United โช Real Madrid
Nimuda sasa Mamelodi Sundowns rafiki zetu hawa, Watupe na Marcelo Allende ili tudumishe vzr urafiki wetu. ๐

Si mlisema lengo moja wapo la mitandao ya kijamii kama Facebook,IG, TikTok na X ni kupata wapenzi sio ๐
Msimu Uliopita Shida Ya Man United ilikuwa Kubwa Kwenye Kushambulia Garnacho Na Rashford Mechi Moja Wanakosa Goli 7 Mechi ikiisha Wanakimbilia Instagram Ku Post Ma Assist Ya Bruno Msimu Ujao Lazima Yatendewe Haki
Ushawahi kusafiri umbali mrefu Kumfuata mtoto wa Mama mkwe Tuambie ilikuje ๐๐๐๐๐๐๐โ๏ธ
Liverpool ya kawaida sanaaa inapelekewa moto na Ac Milan Atariii ๐๐๐
Toka ajiunge baralca naskia anachekelea muda wote kweli Barcelona kila mchezaji sasahv anaitamani
Haya sasa @ThomzJoseph muite yule jamaa yako apa ๐
Does he singned at simba??
๐จ๐จโ Nilipotea online kidogo nilikuwa napokea taarifa muhimu ya usajili kutoka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika na uhakika. Muda si mrefu nawaletea habari kamili mashabiki zangu
Musiala naona anatamani kurudi Uwanjani mapema sana daah kashaanza mazoezi mdogo mdogo ๐๐พ


Huyo maema unaambiwa anapiga mashuti kama Adriano kwenye PES 6 kipa wa mwisho kudaka mpira wake aliambiwa asifanye Tena kazi ngumu akaacha na kudaka sauzi huko ๐๐๐ฅ
Mafokeng โ It's all Done & Sealed ๐๐
DONE DEAL ya mwisho kwa leo, coming soon ๐ฆ โ๏ธ
Mitaa ikae tayari kufurahia ๐คฒ
Jana night wakati nimelala na mpenzi wangu akaomba aunganishe Bluetooth kwenye sabufa ili kuepusha kuwakera wengine kwa kinachoendelea tulipo Baada ya hapo mchezo uliendelea na mziki,sasa goma la tatu likaisha ya nne si ikaplay voice recod alokuwa akiongea na mpenzi wake tena!
Demu wangu aliniambia kazini kwao wamemteuwa kwenda Dodoma Marathon, nimemwambia na mimi nishafika Dodoma amezima simu tangu Asubuhi. ๐๐๐ฎ
Naomba repost ๐ Mchoro wa penseli..๐จโ๏ธ A3 size 80,000/= Delivery mikoa yote ๐ Karibu sana Nicheki whatsap wa.me/c/255767496155 ๐ซต๐พ๐
Vijana tusio na pesa tunajifilisi tukijifanya tuna pesa mbele ya wanawake wasiokuwa na pesa.
Siku ukivaa hovyo hovyo ndiyo unakutana na classmates wako, mpaka unatamani uwaeleze kwamba jamani msinione hivi huwa napendeza sana tu ๐๐๐๐๐พ