ManjestaX
@Waziri_wa_wapwa
Get rich or die trying
Jana katika mahojiano ya Polepole na Mtangazaji wa BMG TV yamefanyika ila chakushangaza Polepole alikua Tanzania na Mtangazaji yupo Mwanza hii imekaaje? Wazito. 😎
COMPANY : PARIPESA📌 ZA MAPEMA(EARLY SLIP)🔥🔥🔥 CODE✅👉 : 4GH7F KUJISAJILI(Register 👇)PARIPESA📌 Reg👉 : paripesa.bet/injinia Promocode : INJINIA Apk(APP) link👉 : paripesa.bet/injiniapp ☎️+255627461577-FREE WHATSAPP GROUP📌 @the_engineer777
Mkienda nyumba za watu muwe mnasema kama mnaumwa vidonda vya tumbo wengine tunakula janaa tuu leo hatuli 😂😂🚮
Dada Ficha Kalio Kwani Halivutii Tena Ngoma Ikipigwa Sana Hupasuka Humsikii Wema.
Naomba Repost🙏 #VIATU BORA🛍️🛍️ ✅Size 40/41/42/43/44/45 ✅Bei 75,000/= Wa.me/+255623346245 📍Kariakoo
Yani saivi kila nikidandia daladala lazima nikae na wamama tu😁💔,ikitokea ni mdada basi ana mtoto...... Wa leo kapanda na wawili, mwingine ndio nimepakata😄💔...
Ukiwa na pesa kidogo then mtu akisema Sijala, sina vocha unaweza kuhisi kama utani lakini ni kweli kuna time kwenye hili life unakosa hata mia, But, dont give up, mradi hizo nyakati hazijakuua bhasi zinakufanya kuwa bora🙏
Wakuu mbona sikuiz nikiamka asubuh nakuwa sina matongo tongo kama nilivokuwa mdogo shida itakuw nini 😅😅😅
"Vuta picha umepigwa bonge la ngumi na mkono wa birika"😂😂🙌