Ale✪
@iamallennm
JESUS FIRST @FCbarcelona @Arsenal @simbasctanzania MESSI Efootball addict 🎮
*UKIOTA UMENYOLEWA NYWELE NA MAANA YAKE* Ukiota umenyolewa nywele, ktk Ulimwengu wa Roho, Au unaweza kuamka ukajikuta umenyolewa nywele, si mpaka uote tu, maana ndoto ni Jambo la Rohoni, unaweza nyolewa Rohoni, au mwilini, Maana yake. Umenyang'anywa *UWEZO, NGUVU, NYOTA…
🚨 🚨Chimbo la kubashiri hili hapa wanangu sokabet fanya ubashiri wako na sokabet na uibuke mshindi Kuweka mkeka bofya 👉 sokabet.co.tz Au piga bure *149 *35# Booking code zingatia : WWLP6 Tufatilie kupitia huu ukurasa wetu @sokabettanzania
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei jezi ya sasa 27,000/= 👉Bei jezi za zamani(Vintage) 35,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Kuwa na mimawazo mingi, bila uthubutu wa kuanza kuyatimiza ni kupoteza muda tu... ✍️✍️
Imagine una sex na demu wako mpya, halafu anakwambia “Baby piga vizuri hadi vidudu vya H.I.V vife” 😫😂
R.I.P My Father mmekukumbuka baada ya kuwa mkubwa Sasa 1996 ni muda mrefu nilikua na miaka 5 lakini picha ya kaburini haijawahi kutoka kwenye mboni zangu
Sio Kila Mtu Ana Ndoto Ya ndoa Wengine Tumechagua Njia Nyingine Ya maisha Mungu Atubariki sana 🙅♀️🎠
Sema si wanaume mungu katupa vichwa viwili kututesa tu, yaani Kimoja kinatafta pesa kingine kinazimaliza 😂😂😂
Unamsindikiza Kwao Fresh ile Mmefika gafla Mama Ake Analopoka Baba Wewe Ndio Huwa Unamletaga na GARI Usiku.😂
Ukimuona mwanamke ameweka kucha bandia ujue uyo ananuka . She's not your type kimbia
WANAWAKE WATATU(3) HATARI NI; 1.MKE WA MTU 2.MWANAFUNZI 3. ____________???🤔🤔 Malizia hapo..😀🤔👇
Brothers and sisters...siku utakayo weza kujua kuwa kwenye mahusiano Yako...thamani yako ni sawa na yamwenzako utakuwa umepiga hatua kubwa sana kifikra Anaumia kama unavyoumia wewe ukimfanyia mambo ya hovyo🙌🙌
Wakati wengine wanasubiri miujiza, wapambanaji wanatengeneza miujiza kwa juhudi. 🐓
Unadate na mwanamke yupo serious mpaka kero na kila mkikutana yeye anataka kifo cha mende tuu, Ukimwambia tubadilishe style basi au awe romantic basi anakwambia "Ee imma hujanioa baba" 💔😂