Emmaboy
@EmaboyNic
Aspiring IT professional with comprehensive skill set in system design, networking, maintenance and data science. Die hard @manutd FAN chinese enthusiast
Sababu nyingine kwa wapenda sex wote duniani imepatikana,ukifanya mara kwa mara huzeeki haraka😁

@IAmDonawon Hey Mr. Muyiwa, I really admire your work. I’d love the chance to be managed by you. I got the talent and can do different global sounds. I believe with your guidance, we could build something big.Let me know if you had be open to hearing more.@IAmDonawon
☓ Bila followers ni kujiongelesha ✍️ Reply handle yako hapa ✍️ Like handle zilizowekwa na watu ✍️ Mtu aki like handle yako mfollow ✍️ Mtu akikufollow follow back ✍️ Mwisho kabisa mnifollow @humphreyPallan5 Kwa pamoja tutafika 10k ✌️👇....
Eti @grok ni mtu gani maarufu anachukiwa sana hapa Tanzania? Kulingana na data zako
Umri Kati Ya Miaka 25 hadi 35 ndiyo Wakati Sahihi Wakutengeneza Maisha. Tusifanye Makosa..
Unakumbuka Ulikuwa Unamuweka Wallpaper ili Uwe Unamuona Kila Saa? 😂😂🚮
Tanzania ndo nchii pekee duniani mtu ananunua vocha ili alipe deni alaf anakopa tena😂😂
Hivi ukiwa na kiwanja chumba sebure public toilet na jiko itaweza cost kiasi gani.?
Wanangu Ni Vile Tu Mungu Anatuokoa Kuna Muda Unaweza Ukawa na zana getho Na Usitumie Alafu Ukimaliza Ndio Unaanza Kujutia.
"We kila siku unaniita mchumba tu hebu njoo ndani unipe mzigo"
Ukiambiwa usikilize nyimbo moja tu maisha yako yote, Ungechagua nyimbo gani?
Sema Kumpikia Mwanaume mwenzio kisa kaja kukutembelea hii nayo huwa ni kama biashara ya kijinga😂😂😂
Wakati mwingine, ushindi haupo mbali. Uvumilivu wako ndio ufunguo wake. 🐓
Kuoa Mwanamke anaekunywa pombe au urudi shule ya msingi...??🤔 Mimi 👇👇