Masterplan🇹🇿
@Master_plan7
|@YoungAfricansSC|@manUtd|
Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu. Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana. Zaburi 4:4-5
Huyo Mwenye Hiyo post Hapo Chini ameasilika na Juzi Amepewa Gono Bado Halijapona. Huyo Huyo Apo 👇👇👇
Kama cheti chako kina saini yake na bado unaishi kwenu jitafakari sana😀
BACK BENCHA nirudi zangu GHETO sasa nikapumzike,hata kama nmekosa lakini ngoja nibebe hata juice kwa ajili ya Mama watoto 😍😍
Nilkuwa Dodoma Usiku Wa Kuamkia Leo! Hakuna Marathon Pale Kwakweli Ni Ufilauni Mtupu Guest House Zimejaa, Bars Zimetapika. Asubh Wadada wanashindana kuoneshana nani Ana Nyashi kubwa kwenye zile taiti nyeusi. Marathon mtu anapanda Boda 😅😅😅
Hey @grok usinichoke leo nna stress vibaya mnoo. Swali lingine la mwisho kwa leo, eti ni msanii gani mkubwa Tanzania hana kipaji ila ametoka tu kwa Janja janja?
Kama utani ila hizi marathon sio health kwa wanawake, mwanamke ni kiumbe dhaifu ndivyo alivyoumbwa hivyo, huko marathon kuna watu huwawezi kwa uchawi, pesa wala kiserikali,. Kati ya 100 ni mmoja tu ndie anaweza kutunza heshima yako wewe mwenzangu na mimi😂🔥. With reference💔
Unajiita bad girl wakatupa ukinyonywa shingo unatetemeka kama jenereta bovu
Evening Gain Train Small accounts matter Drop a hi for a follow
Kaka wavuta shishaa na wanywa bia tuachie huku BACK BENCHA we chukua waifu matirio wote sepa nao
Wajomba ngoja vyuma ving'ae tuonane mtaani Sasa 😊
Ukipaki roli lako jirani na marori ya wa south jiandae usiku kutokulala,jamaa wana tembea na fliza zimejaa chakula wao hata saa8 za usiku wanaungurumisha tu Alafu usikute wewe ulibeba maharage na dagaa inakera hiyoo!!😂😃🙌.