๐๐ท๐ด ๐๐๐๐ด ๐๐ด๐ผ๐ฐ๐ณ๐พ๐บ๐ธ๐น๐ฟ๐จ๐ต
@SEMHANDO_LMe
Dreams don't work unless you do๐๐ ๐๐๐ฎ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐ ๐ณ๐ฟ๐ผ๐บ ๐น๐ผ๐๐๐ฒ๐ฟ Stay loyor but not stupid
1. 0
โโโMwanaume au mwanamke ambaye ni mchawi, mwaguzi au mwenye kupunga pepo miongoni mwenu lazima auawe. Mtawapiga kwa mawe; nayo damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.โโโ Walawi 20:27
Maisha Saivi Nimewaelewa Wale Wajomba zetu Waliokuwa Wanatupa Ahadi Ambazo Wameshindwa Kutimiza.
Kuna haya ma kabila Wajita na Wazanaki,kushikana mikono kwenye mambo ya kazi au fursa mbali mbali ni bora uwauwe..๐๐คฃ
Tusidharauliane angali tupo hai maana maisha, Ni safari ambayo kila mtu hajui atafika lini โ๏ธ.
Kinara SME ni nini? Ni menu maalum ambayo ni Pre-paid. Kifurushi kinadumu kwa siku 30. Vifurushi Vinaanzia 10K GB 10. Vigezo vyake ni rahisi mno Kitu pekee kinachokosekana Ni wewe kuja DM tukayamaliza ๐ Mawasiliano: wa.me/c/255755193910
Wafundishe watoto wako kuheshimu Kila mtu hatakama Una Mali nyingi.Siku utakapoondoka Duniani watabaki na hao hao Watu โ๏ธ
Beki tatu Wanafunzi Manzi mbovu Hawa watu vizazi vyao vipo karibu mnoo ukipiga kimoja tu imoo ๐
Kama unataka kwenda juu sana lazma ukubali kwenda chini sana Ni lazima ufanye kitu cha tofauti kitakachokujengea future imara
Tunaamka na Mipango yetu lakini Mungu Ndio Anaamua Lipi Litimie. Good Morning
Kazini wanajua Nina nizamu ya kuwahi kazini kumbe mwenzao na wahi ili nitumie WiFi ๐๐
Unaeza kumwacha mpenzi wako kwa sababu tu ya uvivu wa tendo la ndoa???
MUNGU wetu mbariki na umpe Amani yoyote aliyeiona Siku ya LEO.....๐