PàChâ#1738🧑🤝🧑🎨⚽️🌴
@Tweener005
BELIEVER / CONSISTENCY / SMILE #SAY IT AGAIN There is Nothing New Under the Sun @Arsenal die hard fan
Usipende kusaidiwa penda kujisaidia ili mtu aone haja ya wewe kukusaidia pale unapokwama .
Ukija Tarime Usisahau Kupita Kwenye Ili Chimbo Utanishukuru Sana. Niko Hapa! Milan Lodge and Lounge 🔥 😅😅😅
Hapa FIFA walimwambia Chwameni apige mpira nje ,Argentina wabebe kombe, kwa mujibu wa mashabiki wa Pendu
Unakumbuka ulidanganywa kinyonga akikung'ang'ania kukuachia hadi shangazi yako aje akiwa uchi 😅😅😅

Hata kama Motoni kwa shetani kunaunguza kiasi gani nikimuona Nick Minaj lazima nimuombe namba ndo niendelee kuungua.😂😂😂💔
Timu gani ni kama ex wako, kila ukijaribu kuacha kuishabikia unajikuta umerudi kimya kimya? 😁
Mitihani ni marks 31 na matokeo ni tarehe yako ya kuzaliwa ungepata ngapi kati ya 31.?
Unamuheshimu Mtu Vizuri Tu Kumbe Usiku Huwa Anapiga Simu Kwenye Radio Kutoa Salamu Kwa Watu Watatu...!🤓
Hawa watoto wa efu mbili tutaacha kuwaita lini "watoto wa efu mbili" maana sasa hivi wana miaka 25. Au nimpaka tufike efu tatu.
Khadim Diaw Cross Jonathan Sowhaaa Goooall!! Hiyo simba ya msimu ujaoo. 😂😂💔
Pale Eniaitii kuna wana waliomba kufanyia field pale BOT, sijui walikua wanawaza kitu gani hadi wakaamua kutuma barua za maombi.!😂🙌🏿🙌🏿
Top 10 Movies to watch with your partner over the weekend🧵🎬 Enjoy your weekend 💫 Check 👇🧵
Asilimia kubwa mashabiki wanaomsikiliza Divoisi ndo tunaokutana nao kutwa na tweets za kumsema vibaya Dizasta Vina
COMPANY : PARIPESA📌 NIGHT SHIFT SLIP🔥🔥🔥 CODE👉 : BVENF KUJISAJILI(Register 👇)PARIPESA📌 Reg👉 : paripesa.bet/injinia Promocode : INJINIA Apk(APP) link👉 : paripesa.bet/injiniapp ☎️+255627461577-FREE WHATSAPP GROUP📌 @the_engineer777
Mpaka sasa timu bora kwenye usajili ni 1. Liverpool 2. Arsenal 3. Chelsea 4. Man City Acha ligi ianze tuone nani kalamba dume nani kalamba gaka
Si mnaona mwanetuu anakula bata now na babies kama zote hawazi wala nn kama alikua flopper last season 😂
Huyu manzi anamsupport sana mshikaji wake kwenye harakati zake hasubiri kuletewa nyumbani wanawake wa hivi wamebaki wachache sana 😅😅😅
