☻
@Thereal_medd
Real bro.!
Zamani nilikuwa nachat na Hawa rich kids wakisema LMAO najua ni Ndimu 😂😂
Wanangu humu tusiwe tunachukulia kila kitu serious. Muda mwingine mitandao(especially huu) ni sehemu ku relax, kufurahi na kusogeza siku tuu Kama tulikwazana pahali tusamehane na tuendelee kuishi..✊🏾
Mitihani ni marks 31 na matokeo ni tarehe yako ya kuzaliwa ungepata ngapi kati ya 31.?
Acha nipigie mathe nimwambie auze mbuzi zangu huko ushago hali si hali 🥲
☓ Bila followers ni kujiongelesha ✍️ Reply handle yako hapa ✍️ Like handle zilizowekwa na watu ✍️ Mtu aki like handle yako mfollow ✍️ Mtu akikufollow follow back ✍️ Mwisho kabisa mnifollow @Tinolove15 Kwa pamoja tutafika 10k ✌️
Ukianza kuwasikiliza watu kama Playboi cart, Young boi, King Von, Trippie redd unaona kabisa Maana halisi ya muziki mzuri
WATANGAZAJI NA WACHAMBUZI wawe Makini......!! Ukitoa O umeharibu🚫
With vivid examples describe the economic activity taking place here ? (30 marks) 😂😂
Katika 2timethoe 1:9 Ambaye alituokoa akatuita kwa muito mtakatifu si kwa matendo yetu Bali kwa matendo yake ya neema yake neema yake ni ya umilele. Yesu alifunua upendo wa MUNGU kwa wanadamu!!!
Nakula dem yako alafu unaanza kukonda bro mbona unishtue ivo😂😂