BARÇAGUY
@blackculer
Believing in Lord Jesus as my saviour ✝️ | Culé💙❤| @taifastars 🇹🇿 fan | #Messi 🇦🇷 🐐 and @DeJongFrenkie21 🇳🇱 huge fan
Dogo kajinyonga kisa filamu za KIX ☹️ Tuwawekee umakini watoto pindi wanapoangalia movies 🫵 Kwenye comments ⤵️
Yani saivi kila nikidandia daladala lazima nikae na wamama tu😁💔,ikitokea ni mdada basi ana mtoto...... Wa leo kapanda na wawili, mwingine ndio nimepakata😄💔...
Ikawe siku ya baraka na mafanikio kwenye utafutaji wako pia mungu akufanyie wepesi kwenye mishe mishe zako.
Hivi kuna mchezaji anaongoza kurandaranda pale ulaya kama Alvaro Morata😂🙌
Kwa hiyo Motel, Hotel, restaurant na café zote ni migahawa kibongobongo 😂

Ukija Tarime Usisahau Kupita Kwenye Ili Chimbo Utanishukuru Sana. Niko Hapa! Milan Lodge and Lounge 🔥 😅😅😅
RAIA WA KENYA ATEKWA DAR ES SALAAM....! Raia wa Kenya Bwana Mwabili Mwagodi ambaye pia ni mfanyakazi wa AMANI BEACH HOTEL iliyopo wilaya ya Kigamboni jijini Dar es salaam ametekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 23 July 2025. Kwa mujibu wa Dereva wa pikipiki iliyo…
Kumbe tetesi hadi huko bondeni zipo
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 ‼️ Simba 🇹🇿 also interested in signing Thapelo Maseko, on loan from Mamelodi Sundowns. The Tanzanians first got Rushine De Reuck and now want Maseko. #NguvuMoja #UNPLAYABLE
Hapa FIFA walimwambia Chwameni apige mpira nje ,Argentina wabebe kombe, kwa mujibu wa mashabiki wa Pendu

Kampuni ni HELABET Code ya Mkeka👉14BPF Weka Tshs 6,000/= Promocode: MABULULU28 Link kujisajili HELABET ⤵️ 1212fghnna.com/L?tag=d_407790… Link ya kupakua APP ⤵️ 1212fghnna.com/L?tag=d_407790… 🈴
✍🏻Dickson Job (24), Pacome Zouzoua(28), Max Nzengeli (25), Mudathir Yahya (30) Hawa ni miongoni mwa wachezaji bora na muhimu kwa Yanga Sc msimu uliopita wapo kwenye timu zaidi ya misimu 2 so ingekuwa ajabu kama wangeondoka sababu Yanga bado inahitaji quality na Experince yao..👇🏾
Ila mashabiki wa dizasta sio wazima afya ya akili 🤣🤣🚮
Tukiwaambia mtutajie maraper wenu wakali apa bongo amtaki mnakimbilia kuwataja wakina GUNNA uko mbona mnakua waoga kutaja 🤣🤣🙌🏿