Joh
@OfficialMAGUME
servant of true GOD. Councilor of spiritual matters. Friendship creator.
#VIDEO Ndugu wa kijana aliyekuwa akichunga ng’ombe anayefahamika kwa jina la Frank Sanga aliyefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaodaiwa kuwa ni askari polisi katika eneo la Ntyuka jijini Dodoma, wameiomba Serikali kuingilia kati tukio hilo kwa kuchukua hatua kali dhidi…
OGOPA MATAPELI OGOPA MATAPELI OGOPA MATAPELI 1.Mmegoma kufanya Reforms 2.Mmezuia ziara na mikutano 3.Mmemfunga Mwenyekiti wetu @TunduALissu 4.Mmezuia shughuli za chama nchi nzima 5.Mmetuzuia tusisafiri nje ya nchi 6.Mmezuia vyombo vya Habari visifanye Mahojiano na sisi.…
Nimetumiwa hii clip na mtu, kwamba kwenye kijiwe hiki watu walikua wansikiliza hotuba yetu ya mahakamani leo kwenye kijiwe chao. Dunia imesogea mbele sana, sio rahisi kwa ccm kucontrol umma wala habari tena. Mnatumia mbinu za kizamani na kijinga kuzuia dunia ambayo imesogea…
Evra, Rooney, Tevez...
#PICHA Ukiona jezi hii ni mchezaji mchezaji gani anakujia akilini kwa haraka? #ManUnited #HainaKuchoka #EastAfricaTV
Huu ni ukweli kabisa
Kuwapa nafasi wanawake kwasababu ya jinsia yao IFUTWE MARA MOJA wapambane kama wanaume na wapimwe uwezo wao.
Today, we honor the brave men and women who made the ultimate sacrifice for our freedom. Their courage and dedication will never be forgotten. 🇺🇸
Mabibi na Mabwana ninayo furaha kubwa kuitambulisha timu yetu mpya ya BONIYAI FOOTBALL CLUB ya Ubungo jijini Dar es salaam Ambayo inashiriki mashindano ya Ndondo Cup 2025 ikiwa na matarajio ya kutwa ubingwa kwa mara ya kwanza katika ushiriki wake. Karibuni wote tufuatilie…
Tumesikia na pia tumesoma juu ya uwepo wa mikakati ya 'Wakaldayo' kwa 'Melkizedeki'! Tunatafakuri juu ya taraarifa hili (Zaburi 35).
Mhe. @TunduALissu akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. "#NoReformsNoElection"
Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika miendo yao; wamejifanyizia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani. Isaya 59:8
Kwa yeyeote anayependa HAKI hawezi kufuraishwa na jambo kama hili.
Kuna vitu vyakujiuliza!! Hivii, angetekwa au kupotea, mtoto watajiri, au wakiongozi mkubwa, nikweli asingepatikana hadi leo!? @mdudenyagali ni mtoto wakimasikini kabisa, mamake, mke, mtoto,hawajui, walie kuomboleza, au waendelee kusubiri bila matumaini!!😭 Hili, limeniumiza sana
😀 😀 😀 😀
Kwa kiasi kikubwa perfume za Kalage zimetusaidia msimu huu nawashauri tununue perfume Bamaga.
608
Kipimo cha macho...✍️ Taja namba nyingine unayoiona hapo ukiachana na 609 😂
#TajiriLaKihaya SIMU ZIIITEEEEE….
#TajiriLaKihaya *Introducing Safarilinks Africa Travel & Tours – Now Open at Mlimani City Office Park* Dear Travel Partner, I hope you're doing well. I’m pleased to inform you that I’ve recently started a new venture — *Safarilinks Africa Travel & Tours*, offering reliable…
Wewe ni mtu mwema sana, Nakuombea Mungu wa mbinguni akulinde huko. Na kila mmoja aliyehusika kwenye tukio la kushambuliwa kwako kwa namna yoyote ile Mungu wetu akashughulike nae sawa sawa na Zaburi ya 109.🙏
Popote ulipo Retweet hii✊ #FreeTunduLissu #FreeTunduLissu