John kalage 🇹🇿
@kalage_jr
Owner @Kalage_Perfumes || Ambassador of @sedecbuilders || Email: [email protected]
Nimepata bahati ya kutembelewa ofisini kwangu na Mheshimiwa @jokateM Tumezungumza machache zaidi nashukuru Sana kwa ukarimu wako umenihamasisha kujituma zaidi. Mungu akubariki Sana kwa kujali, Kuthamini na kutumia wakati wako kwajili yangu. Karibu Tena Mhe hapa ni kwako 😅🙏

SUFURIA NI NZITO MNOO, ANGALIA HUO UPINDO WAKE ULIVYO MNENE📌 ZOTE 4 TSH 40,000 KUBWA INABEBA 2KG 0755 693 113 📍ZIPO DUKANI UBUNGO EXTERNAL, MKOANI NATUMA @Sativa255 @nyuki_malkia
NINAZO HAPA DUKANI TSH 25,000 0755693113 📍 UBUNGO EXTERNAL MIKOANI TUNATUMA
Mapenzi yakinoga yanakuchelewesha kulala, yakiisha yanakunyima usingizi Mradi usilale tu
Wale ambao wanaacha kila kitu kwenye mikono ya MUNGU, wataona Mkono wa MUNGU kwenye kila kitu.
Alitaka kunichukulia poa, kumbe mi mwenyewe ni mtoto wa town.
Chukua Yamal, Arda gulla, Jude na palmer halafu waweke kwenye blender.

Balloons 🎈 on my TL, Kumbe today is my birthday. 35 years of age today 🙏. Thanks God. My virgin woman is still waiting for me, happy birthday to me Virgin Police and hunter
Baada ya miaka 16 ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi, rapa Birdman hatimaye alifunga ndoa ya siri na mpenzi wake wa muda mrefu Toni Braxton. Lakini baada ya siku mbili za ndoa Toni aliwasilisha ombi la talaka na kudai fidia ya dola milioni 160. Twende taratibu story ipo hivi…
Yule yule Mwanajua Tatoo ya asili Kibabu na binti Wimbo usio bora Mascular feminist Confession of mad teacher Confession of a mad son

#WalkwithConfidence 👣 VANS ✅ QUALITY IS ASSURED 🔷 Price 65,000/= 🔷 Size 40–45 🚛 Delivery Dar na mikoani tunatuma 📍 Tupo K/koo mt. Congo&narung'ombe 📞0692930987 Whatsapp ☎️0744174556 Call
Panda SGR BUREE kwa kutumia SimBanking! 🚆📲 Lipia tiketi kupitia SimBanking App au *150*03# ujishindie zawadi kibao – ikiwemo Toyota IST au Harrier mpyaa! 🚗 Miamala 3 tu? Unapata Bima ya Maisha hadi Mil 4 papo hapo! #BenkiNiSimBanking #CRDBBank #SGRBureNaSimBanking
Wasio na maisha kama mimi July Photo Dump.!!
Wasio na maisha kama mimi July Photo Dump.!!