Swed Junior
@Kingvannytz_
Musician 🎶
Karibu Maasai Herbal Clinic – Kituo cha tiba asilia kinachoaminika kwa matibabu salama, bila kemikali, na yenye matokeo ya kudumu. Unakabiliwa na changamoto kama: ❌ Nguvu za kiume kushuka ❌ Uume kulegea au kutosimama ❌ Mbegu chache au dhaifu ❌ Kushindwa kurudia tendo ❌…


HUDUMA ZETU - Kunyoa Nywele - Kusafisha Uso na Kuondoa Vipele - Kusuka Nywele na Kusafisha Uso kwa Kina - Huduma za kucha za mikono na miguu - Kumpendezesha Bwana/Bibi Harusi kwa ajili ya Harusi Ndio ilitakiwa iwe hivi ama? 🤔
Tumefanikiwa sana kwenye suala la kukitukuza Kingereza. Ndio mana kila mzazi anatamani mwanae asome shule za Kingereza. Tuko sahihi au tunazidi kupotea?
Pendeza Kwenye Harusi au Send-off Yako na @suitmseleleko! 🔥 Je, unajiandaa kwa ajili ya harusi au send-off yako na unataka kung'ara? Usihangaike! @suitmseleleko tumekuletea suti kali zenye vitambaa vya kipekee kutoka Uturuki zitakazokufanya upendeze kupita maelezo! ⬛Bei Zetu:…
Hatujasahau mliandikisha wanafunzi wa Form 1 kwenye daftari lenu. Ogopa sana TEKINOLOJIAAAAA. Leo kesho yetu inaenda kuamuliwa na watoto wetu wa Form 1 ambao hawajui hata KODI ya mtandao inafananaje. TUTAKUWEPO🫵😎
Sale ni hizi tu. Epuka usumbufu. Tembelea aidha #StreetSoul au #JustFit ndo kuna Sale za uhakika. .SALE zinazoongea
Zoom❤️
A model from Tanzania 🇹🇿, Neypaul doing Nicki Minaj's Challenge 😍
Kama wewe mtu wa field.... Hizi zinakuhusu. Na sasa Zina punguzo hapa #JustFit
ASLAY 📌🔥
Ukiambiwa uchague kati ya Mbosso na Aslay kila mmoja akiwa kwenye ubora wake unaenda na yupi ?
Wafanyakazi wote wako Dodoma, vibarua tumebaki Dar 😂😂maisha haya 🚶🏻♀️
Huyu ndio binadamu pekee anayewaumiza kichwa Marekani Jina lake ni EDWARD SNOWDEN Mwanaume Aliyeifichua Siri Kuu Za Marekani. Alikuwa mfanyakazi wa NSA (National Security Agency), shirika lenye nguvu zaidi la ujasusi wa mawasiliano duniani. Ndani ya muda mfupi, Snowden…
Kijana anaekula Mchana, akikupa ushauri kataa Mkuu. Kheri uhesabu punje moja moja ya gunia la Mchele kuliko kumsikiliza 📌
Ukiambiwa uchague kati ya Mbosso na Aslay kila mmoja akiwa kwenye ubora wake unaenda na yupi ?

Ukimwambia kijana mwenzako kuwa wewe. Sio Mlevi Sio mtu wa Clubs Sio mtu wa shisha na Bangi Haamini.!!😂
Shugulika na MASISIEMU huku ukizingatia Afya ili uishi miaka mingi uone ANGUKO lao.🏋️👟💪🏾 TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Ndio Timu Yako Iko Fainali Unatakiwa Mchague Kocha Mmoj Wa Kuingoza Hiyo Fainal Unamchagua Nan Hapa?..?