TheBoss.💰
@BOSSferdd
Here X for fun,💦
Kama umeweza kuwa online kipindi chote na X iko bun,wewe maisha kokote una ishi. Usijidharu hata kidogo.🙂
Ungependa klabu yako ipate kocha mzee mwenye experience au kijana mwenye njaa ya mafanikio?
Ajabu nyengine ni pamoja na kuwa watu muhimu katika maisha huwa hawaombi sana muda wako, lakini wakitoweka, utatamani ungewapa hata sekunde kumi zaidi. Usisahau kuwajali watu wako wa muhimu!🙌📌
Boda Boda nchini Uganda wakiwa kwenye kijiwe wakisuburi abiria usiku mzito na kuuchapa usingizi juu pikipiki zao. Usikate Tamaa , Safari Bado inaendelea.
Inatakiwa iwepo na kikomo cha uongozi Kwa madiwani wabunge na mawaziri kama ilivyo Kwa rais. Iwe Miaka 10 na wasigombee Tena ili na wengine wapate nafasi ya kuongoza bwana mtu anakuwa serikalini Miaka 30 Hadi 40. Asa wengine wanasoma ili iweje asa
Ukiona masikini anakula kuku, ama kuku anaumwa au mtu anaumwa karibia kufa...🧑🦯
Mungu anatabia ya kuanzia pale ambao wewe kwa akili yako unaona imeshindikana kabisa. Usiku mwema fam 🌹🇹🇿
Mambo 5 Ya Kukupeleka kwenye Mafanikio yako: 1. Nidhamu. 2. Maombi. 3. Bidii. 4. Kusoma. 5. Kujua wapi pa kunyamaza.
T nimemwambia mwaka 2054 kama Mungu atajaalia, asijichanganye kupisha wazee seat. Maana watakuwa ni kina kitengo.
Madrid wenyewe hawana mechi za kirafiki wanasubiri tu ligi ianze wakipute ,wanajikuta kina nani 😅😅😅