The champ👑
@fintanjr_
Self motivated & Simba fan🦁
Mathayo 5:19-21 19.Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba; bali jiwekeeni hazina mbinguni, 20. kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi; 21.kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Zandaaaaaaaaniiiiiii Neo maema kutua Simba,saiz kila mchezaji wa Mamelodi anaitaka Simba ya Fadlu Adi tunaogopa mashabiki.😂😂
Huu si ndo muda wa kujifanya kwenda kusalimia jirani Ili tupate kutazama tv🤣🤣🤣
Majibu ya huu mwezi tutapata tu miezi mitatu au minne ijayo,nyie si mnaendekeza baridi. Subirini tutakuwepo
Pale UDOM kuna college inaitwa CIVE jamani ile ndo kambi ya mademu wabovu...Demu anasoma huku amevua shati.😂😂😂💔🙌
Kuna janja wa Kenya kaiba Speakers na msalaba kanisani kaenda kuombea mkopo😂😂🙌🚮🚮
Wanawake wenye tamaa, sisi tumelipwa mishahara, ayaa muda sasa wa kuuza utu wenu kwa pesa ambayo haimalizi matatizo yako💔🧠
💥sema kuna time pale yanga wachezaji huwa wanawaterm kama familia tu,,😁 Dogo huwa hachezi kabisa ila wamemuongeza mkataba ,,🙌🙌
Jean Charles Ahoua kapata msaidizi wake sasa , huyu ni left foot magician Neo Maema, Ligi ianze tu sasa. 😂😂💔
Mafanikio tunayataka mashabiki wa simba Ni kumfunga Yanga tu nasivinginevyo..😂
Mwamba huyu apa Ashley Young umri miaka 40,Bado kaaminiwa na Ipswich tutaendelea kumuona na kumuona tena pale EPL. Huyu kweli young. 😂😂💔
Si ndio kesho? Leo mkeo yupo ananunua chupi mpya aende marathon😂💔, aiyaaa wajinga ndio waliwao.
Mkeo huko Dodoma marathon😂💔🔥