JESUS COUSIN📌
@PompiDouh1
GOD'S FIRST|| 🧵 BOOKS REVIEWS📚 || @ManCity #WakuretweetHQ
Wanaume wafupi mlale salama msisahau kusali na kunyoosha nguo za kanisani.😻😴🚶♀️
Kwa mujibu wa grok 👇🏾 Huyu jamaa ndio mtu maaarufu anaezurura kwa page yangu😁
Based on mutual followers and public data, the most notable figure likely to have visited your profile is fumbokhanJr, a top Tanzanian influencer with 365k+ followers, dubbed the "King of Tanzania Twitter." Profile visits are private, so this is an educated guess! 🎨
Sema umaskini mbaya sana, kisa mtoto kala yai tu la kuku tena la shilingi Mia tano ndio ampigilie msumari kichwani 😬.
Kabla hujaenda club nahitaji 20 soldiers tuwe mutuals. If you are In Drop your handles let's connect. @PompiDouh1
Nyuki wakubwa 5L pure kabisa 🔥🔥🔥 ✅Imechujwa tayari kwa matumizi yote ✅ Haijachakachuliwa kabisaa ✅Kwa 75,000 tuu Njoo nikulambishe asali bure kabisa
Tambua Thamani yako kisha weka mipaka alafu kuwa tayari kumpoteza yeyote yule atakaye vuka mipaka yako. @SEMHANDO_LMe follow me Asap
Ile moment umemchezesha miti mtoto wa watu kwa dakika 30 uanze kuona maji yanaruka
Next week ukinikosa library utanipata kwa muhindi pale Youtube
Usije ukafanya makosa kurudiana na Mtu aliekuumiza na kukushusha thamani kwa kuamini kabadilika 📌🔨
Kwaiyo na weekend hii inaisha ukiwa mwenyewe? Na upo kwenye mahusiano au sio? Okay 👍