Blessed Trice✝️🙏
@trice_blessed
really eyes realize really lies 📌 without God i’am nothing,God forever grateful for me ,pray each day,let God light,stay positive, stay humble ❤️🙏🤎
Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima. Yn 8:12 SUV
#UZI 💨 TENGENEZA SIMU YAKO MWENYEWE 📱🧰 Thread ndefu ya mbinu za kutengeneza matatizo ya simu yako mwenyewe moja baada ya nyingine. Soma hadi mwisho uokoe muda na hela 🧵👉👇
Popote usomapo hii Ndugu, Nakutakia siku njema iliyojaa mafanikio kwa ajili yako na familia yako. Ikawe ni mwanzo mzuri wa mambo mazuri mbele yako. Good morning🙏
💨 Kitu nachoonaga huko miaka ijayo nikija kuwa mdingi lazima niwe mtumishi wa Mungu. Naona ni lazima itakuwa hivyo kivyovyote vile.
📌Hongera kwa Kanisa Catholic👏🏼👏🏼😄 ✅️Natamani Lutheran bishops nao wawe na misimamo kama hii..😬 ✅️Viongozi wa KKKT na makanisa ya Pentecost kazi kwenu😀
Kutompenda mtu ni sawa kabisa lakini kubuni uongo ili kuharibu tabia yake si sawa kabisa.
Usidanganye uongo ni dhambi, imeandikwa waongo wote sehemu yao ni ktk ziwa liwakalo moto na kiberiti
Ongea kwa sauti napenda kusikia maneno haya kwa sauti kubwa😘💃💃najiona mm hapa😌
Sema kuna raha mwanamke ukiwa msafi wa mwili na mahali unapoishi🥰😍
Sema kuna raha mwanamke ukiwa msafi wa mwili na mahali unapoishi🥰😍
Chunga kinywa chako kisiwe sabb ya anguko lako unayoyatamka yanaweza kutumika kama silaha ya maangamizi juu yako,kuyaweka madhaifu yako public isiwe sifa chunga sana tunaishi kwenye dunia yenye watu wenye roho mbaya lkn wamejifucha kwenye vivuli vya urafiki/ndugu mtangulize Mungu
#UZI 💨ZUIA WATU KUSOMA NOTIFICATION ZAKO ZA WHATSAPP. (SHOW SENSITIVITY CONTENT) Uzi mfupi sana🧵🧵👇 1. 📱 Unapopokea WhatsApp message, huwa inaonekana juu ya skrini hata kama simu imefungwa — ikiwa na jina na sehemu ya ujumbe.
💨 Nothing Phone kumbe sio wa kwanza! Hii ni Xiaomi 8 Pro ya 2018 iko na back transparent cover.
Unashtuka hujala hadi muda huu na wapaswa kuwa mazoezini si muda sana Unakula slice 2 za mkate ukifika gym mwili hauna nguvu😒
💨ZIMESHUKAAAA💥💥 ▪️Pixel 7 (8+128) - 500K ▪️Pixel 7a (8+128) - 500K 📍Likoma, Opposite na Geti la KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa @Njiwa_Store 📞 0745100757 wa.me/+255745100757