killo_Killotz
@killo_killo11
##Everything for me is alhamdullilah🙏🙏because only ALLAH NOW ABOUT ME..
Happy birthday🎂🎂 to me.thank you allah kwa kunijaalia kuongeza mwaka mwingine.🥮🎂 Pia ahsante sana mama siku kama ya leo ulipata tabu sana kunileta mwanao duniani.🙏💝

#TajiriLaKihaya Kiufupi saana… Toka Alhamisi nipo huku DODOMA… Na nikwambie tu… CLUBS zote, Hotel zote… Hakuna Sehem manzi imekosa Partner ya kiume… Ni mwendo wa wawili wawili tu… Kama mwenza wako kakuaga anakuja Dodoma Marathon na wewe umebaki Home… Basi jua…
#TajiriLaKihaya Nasikia WASIMBE na Ma Bro Uchwara… Baada ya kusikia nipo BAMBALAGA… Mmehamia RAINBOW… Nipo na nyie Leo… Meza Kwa meza - matukio yote naya nasa 😅
Hivi karim mandonga anajikutaga nani kwenye Boxing Jamani!! hiki nini sasa. 😂😂💔
Okay kura ziko 300 na kuna watu 100 kwa jimbo/ Na kituoni hakukuwa na watu halafu ameshinda kwa kishindo/ 😁 #Replay 🏆
Huyu wa sasa nilie mpata Facebook.hana kipengele labda kipengele nije nacho mimi…🥰
Si mlisema lengo moja wapo la mitandao ya kijamii kama Facebook,IG, TikTok na X ni kupata wapenzi sio 😂
Mapema sana nipo hapa The Mandevu Store nawangoja Wanangu wa nguvu.🫡
Utasahaulika na maisha yataendelea, Jipende, furahia ulicho nacho kisha ishi maisha yako❤, Tunaishi ~Tunaishia💔
Ndo naingia saivi wanangu kuna nini?? Kinacho endelea humu ndani?🤔

Ukiwa Unatia Huruma Haimanishi Kila Kitu Kitabadilika,Weka Juhudi Katika Kazi Yako. Matunda Utayapata..
USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE
Mafanikio tunayataka mashabiki wa simba Ni kumfunga Yanga tu nasivinginevyo..😂
Mafanikio tunayataka mashabiki wa simba Ni kumfunga Yanga tu nasivinginevyo..😂
🔥🎉 CHAPA REPOST FAMILIA Odds za leo👇 Mkeka Odds 22+ || Code P9T4F Stake high 306K Jisajili MELBET hapa, ⚠️hakikisha umezima VPN👇 Website mlbt.cc/3Gy12Sd application mlbt.cc/4ktyyqu 👉promo code Cuty Njoo group la whatsap👇 chat.whatsapp.com/FFQGFgNGWaCCSQ…