simo_northern47
@SLello47
Do or don't there's no try.🍀
Wamaasai wa Ngorongoro wanapinga kuondolewa kwa nguvu kutoka Ngorongoro. Serikali ya Samia imewanyang'anya elimu, afya, maji & chakula. Imewafuta kwa maelfu kwenye Daftari la Wapiga Kura. Licha ya ukatili huu, wananchi hawa wamekataa kuondoka kwenye eneo lao. Mimi nawaunga mkono!
Dem wa papikan amenibluetik sa sijui amenionaje mwisho wa siku katuma hiyo emoj akina Irene jau kishenzii.

Binamu yangu alikamatwa kwa jambo ambalo hakufanya. Tagini wanasheria akina Tito na wengineo nipate haki ya binamu yangu. JUSTICE FOR MY COUSIN.🙏

Last season United tungefanya vizuri atleast tukawa tume secure UCL position all these good players wasingekuwa wanaturingia. Isak angekuwa United.
Reforms si anasa za kisiasa; ni hitaji la kimaadili. Na kama sheria zetu haziwezi kulinda haki ya msingi ya uchaguzi huru na wa haki, basi hiyo sheria si kitabu cha haki ni silaha ya ukandamizaji. Unataka tufuate uchaguzi ambao , Wagombea wanakamatwa kabla ya kupiga kura?…
DJ Fete, Kupitia maumivu ya kusimamishwa kazi kwa sababu ya msimamo wako, najua si rahisi lakini naamini ndani yako kuna kitu kikubwa, msimamo wa kweli, ujasiri na heshima kwa dhamira yako. Walio kusimamisha wana mamlaka ya leo, lakini Mungu ndiye anayeshika kesho.Usiogope. Mara…
Mwananchi na nyie mnashiriki huu UPUMBAVU wa Vichaa wasio kuwa na akili wala ufahamu. Tafadhali jitengeni na ujinga huu haraka iwezekanavyo. CCM ina vijana WAPUMBAVU SANA. Imagine, wanalipwa kwa UPUUZI kama huu.
BALILE NI MWANDISHI AU DOLA..? MASWALI KUMI (12) KWA BALILE. 1.Balile anawezaje kugeuka kuwa mchomaji wa waandishi wenzake wa Habari..? 2.Balile aliyefundishwa kujifundisha na kukosoa jamii anachukiaje akiona mwandishi anakosa taaluma ya Uandishi wa Habari? 3.Balile anawezaje…
Mimi ni mwanageuzi wa miaka yote, mwanaharakati wa miaka yote. Kwahio hilo wazo, wazo tu kwamba naweza nikaenda CCM halipo, hawa hawa hawa madalali hawa” 😂 Mtia nia wa nafasi ya Uraisi wa JMT 2025 kupitia CHADEMA Mhe. @TunduALissu akihojiwa na @chiefodemba Star Tv hii leo.
Kupitia barua iliyotoa taarifa kuhusu maandamano ya Jumatatu 19, June 2023. @tanpol Msije kujeruhi watu waacheni tudai haki zetu kwa njia ya kistaarabu na kiungwana, Maandamano ya amani, wanasheria kuweni macho kwa askari yeyote atakayevunja Haki za binadamu utashtakiwa mwenyewe
Leo nmepitia tweet ya ndugu yetu soka nmehuzunika sana,kumbe yule tapeli wa kichaga alikua anajua Kila kitu kuhusu huyu jamaa inaumiza man.
Kunifahamu kwa sura na pahala ninapoishi, the next stage itakua ni kunikamata Kimya kimya, na Kunipoteza, Sababu ni kuwa radical kwa S/R. Nawatia moyo vija, Mungu wetu yupo Hai anaishi milele. Ikotokea basi msilie wala kuudhunika bali itupe moyo wa kupambana na Kukataa usaliti.
Kunifahamu kwa sura na pahala ninapoishi, the next stage itakua ni kunikamata Kimya kimya, na Kunipoteza, Sababu ni kuwa radical kwa S/R. Nawatia moyo vija, Mungu wetu yupo Hai anaishi milele. Ikotokea basi msilie wala kuudhunika bali itupe moyo wa kupambana na Kukataa usaliti.
Ukweli ambao nitauweka wazi mbele ya Mungu & marafiki zangu wa harakati, viongozi wenzangu, Ndugu, jamaa & marafiki pamoja na watu wote Dunia Nzima, kwa taarifa nilizopata Kuna mpango wa kunidhuru & Kunipoteza kabisa Duniani. Wamekwisha kuanza hatua ya kwanza ambayo ni 👇
CCM na ninyi mlioko madarakani, mnaelekea mwisho wa aibu na laana ya historia. Watoto wenu wataishi na fedheha ya kulelewa kwa maisha ya dhuluma, na siku moja watawauliza kwa maumivu, “Kwa nini mlitupeleka shule kwa thamani ya uovu? Kwa nini mlilisha familia zenu kwa gharama ya…
After all, it takes a lot of energy and work to convince yourself that your shit doesn't stink, especially when you've actually been living in a toilet
Porn star wa Africa 99.9% wanakulana wamevaa condom, watu wanafanya kazi haramu halafu wao kwa wao hawaaminiani wanaogopana😂🚮
Waumeme ukishaanza kuwaonea huluma basi kila mwanaume atakufunua take care 😒