ELFUJEROOO…!!!
@bukujero_1500
Betting & Lifestyle Memelord 🥇 Occupation: BETTING
Baadhi ya wanawake/Wanaume sio wote wanaroho mbaya sana 😢 ukiona kitu kama hiki chukua hata shoka kivunjilia mbali utakua umeokoa nafsi ya mtu.. Miaka kibao mjini husogei kumbe umepigwa pini na wasenge🥺
Marawin anachukua hela zetu, na Marathon anachukua madem zetu. Aah kmk😂
Album ya "AFRO EAST" mpaka leo inatajwa na wana wengi sana kuwa ni moja ya Album kalii sana toka kwa HARMONIZE na aliitoa mara baada ya kutoka WCB. EP ya "ROOM no3" pia mpaka sasa inatajwa sana kuwa moja ya EP kalii sana, nayo imetolewa mara baada ya MBOSSO kutoka WCB 👇🏽👇🏽
👉🏽Kuyatafuta hayo maneno yanayoweza kukupa maana zaidi ya moja ni jambo moja. 👉🏽Kuyavisha vina na kuyaconnect na Mada husika ni jambo la pili 👉🏽Pia kuufanya mstari husika usikike katika hali ya kufurahisha ni jambo lingine pia Mnamchukulia poa mshikaji ila sio rahisi wakuu 👇🏽
GIVATIPS RIPOTI YA JANA 💥🔥✅💥🔥✅💥🔥✅💥 📌 NO GOSL IN 5 MINUTES ⚽ ▫️ 💰 1.6 MILLION ✅✅ 📌 GOALS GALORE⚽⚽ ▫️ 💰 1.37 MILLION ✅✅ 📌 BASEBALL ⚾ ⚾ ⚾ ⚾ ▫️ 💰 2 MILLION ✅✅ JUMLA 4.97 MILLION 🔥💥✅ Mikeka napost kila siku hapa na kwenye…
Leo kwenye Foleni ya mihogo nilikuwa mtu wa tatu ila bado nimefanikiwa kukosa mihogo. Mshikaji wa kwanza aliagizwa na wanae 12 na Mshikaji wa pili aliagizwa na wanae 13 Kwa lugha rahisi ni kama nilikuwa mtu wa 25 😥 Hii tabia ya kuchukuliana Mihogo muiache wanangu
Wamama wa Daslam anamsalimia shkamoo anakuangalia kwa jicho baya halafu ndo anakujibu “Marhaba mambo…” 😂
ODDS 20+ PARIPESA 🟢🟢🟢 Code: 5ZJMF Play l Edit l ignore 🔞 Jisajili Paripesa hapa kama bado hauna account ⤵️ Application Link: paripesa.bet/bukujeroapp Promocode jaza: BUKUJERO Get more bonuses when you sign up using promocode *BUKUJERO* 💸

Nimeweka treni langu galsport mechi ya mwisho trh 25 mwezi wa nane mechi ya Inter vs Torino utajiri huu hapa wakuu 😆😆
Mtu anaetoka Kariakoo kwenda Chanika na mtu anaetoka Dar kwenda Morogoro nna uhakika anaetoka Dar kwenda Morogoro atatangulia kufika 😂
Binamu yangu alikamatwa kwa jambo ambalo hakufanya. Tagini wanasheria akina Tito na wengineo nipate haki ya binamu yangu. JUSTICE FOR MY COUSIN.🙏
"Ukizaliwa Mwanaume We Ujue Kila Kitu Kwako Kitakuwa Ni Tabu" 🎶
Zamani wazazi walikuwa wakisafiri wanabeba barua ya mwenyekiti,barua ya mjumbe,barua ya kanisani kama Mkiristu ,barua ya msikitini kama Muslim vitu vingi . Ila vijana wa sasa wakisafiri ni chaji,jordani ,boksa.😂
Porn star wa Africa 99.9% wanakulana wamevaa condom, watu wanafanya kazi haramu halafu wao kwa wao hawaaminiani wanaogopana😂🚮
Zuchu kaacha mziki au nyimbo zake hazifiki huku Kibada?
Karibuni MAASAI HERBAL CLINIC kwa huduma zifuatazo👇 Tunatibu 🗣️Tumbo kujaa gesi ❌Bawasiri ❌P.I.D & U.T.I ❌Vidonda vya tumbo ❌Magonjwa ya zinaa ❌Huduma ya meno ❌Kupunguza unene Kwa maelezo zaidi na jinsi ya kupata, WASILIANA NASI LEO: 🌿[𝟎𝟕𝟖𝟖 𝟏𝟕𝟕 𝟎𝟕𝟏]🌿 TUPO:…