Laul🌺🦋
@Saraphinalaul78
UDSM📚 🧚🧚 NO FACEBOOK ❎ NO tikitok🚫 +255 🌺X family ❤️💃
Hofu ya Wajumbe kupindua Meza ya Genge la Samia, imewafanya Waitishe Mkutano mitandaoni ili kurekebisha Katiba Imfae Samia na Genge lake ! Hofu ileile iliofanya Akahairisha Mkutano na kukimbilia Zanzibar. Sasa imewafanya Waitishe Mkutano Kwa njia ya Mitandaoni ! Genge la Samia…
Twende kazi ✊🏽🔥 #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili Acha kutuaibisha @SuluhuSamia #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili
Mwabili is being held by Tanzania’s security agencies. @SuluhuSamia’s government is openly and obviously targeting Kenyans in Tanzania. #FreeMwabiliMwagodi
Ukiona umeenda kwa mwanaume afu unavotaka kuondoka anakupa pesa ujue mkiachana atasema alikuwa ananunua. 💔 Hawa viumbe 💔 😢
#TANZANIA: MWANAHARAKATI WA KENYA MWABILI MWAGODI ARIPOTIWA KUTEKWA NCHINI TANZANIA Mwanaharakati mashuhuri wa mitandao ya kijamii na mkosoaji wa wazi wa utawala wa Rais William Ruto, Mwabili Mwagodi, ameripotiwa kutoweka jijini Dar es Salaam, Tanzania, katika kile kinachoshukiwa…
Waumeme ukishaanza kuwaonea huluma basi kila mwanaume atakufunua take care 😒
Amkeni!..... Amkeni!..... Amkeni!... Kimewaka huku 😂😂😂😂
UZI 🪄🧵👇 Je, Shetani ni kiumbe halisi? Ikiwa ndivyo, alitoka wapi? 👇
Radio za kenya zinachambua vyema siasa ya bongo kuliko media za bongo. Afu anatokea kibaka anakuambia bongo kuna "uhuru wa vyombo vya habari" DIKTETA IDI AMINI MAMA ulifikiri ukifungia vyombo na waandishi wa habari basi habari kama hizi hazitafika duniani? Hatupo zama za mawe.…