𝐌𝔸𝐍 _🅂🅷🄴🅺🄰😎
@Man_sheka360
|| Manchester United❤️& Real Madrid 🤍 || 𝐆𝐎𝐃 𝐈𝐒 𝐒𝐔𝐏𝐑𝐄𝐌𝐄👆 ||BILA KUCHOKA💪🏽||🎵Hiphop Kendrick Lamar🐐, R&B SZA 💖 || 𝖪𝖠𝖱𝖬𝖠 𝖨𝖲 𝖱𝖤𝖠𝖫💯
Ukiwa mwanaume jifunze kuheshimu kila mwanamke katika maisha yako itakupa fursa ya kudumu na yule uliye naye kwenye mahusiano yako📌💯
Tanzania ndo nchii pekee duniani mtu ananunua vocha ili alipe deni alaf anakopa tena😂😂
Hiki ndo kipnd ambacho wakina Fabrizo wa soka watakuwa wengi sana 😂
Mda huu demu wako ndo anatolewa ghetto kwa jamaa ake kupelekwa kwao na boda boda 💔😂
Kwani wenzangu wakati mnaa galia hii muvie ilikuw kwenye lugha ipi..?😂 Mimi naskia kispanish mwanzo mwisho..🙌🏾
Eti @grok kulingana na data zako ukiachana na Tundu Lissu & John Heche ni Mtanzania gani mwingine anapendwa sana hapa Tanzania? Iwe mwanasiasa au mtu yoyote.
HIZI KOZI UKIPATA AJIRA UNAKUWA UMETOBOA MAISHA 1: BSc. Petroleum Engineering 2: BSc. Petroleum Chemistry 3: BSc. Petroleum Geology 4: BSc. Mining Engineering 5: BSc. Mineral & Process Engineering 6: BSc. Mineral Geology 7: BSc Aeronautical Engineering Ongeza nyingine 👇
Kama huko kwako CHUDAI hazifunguki chukua hii mali mapema sana uendelee kuongeza kibubu chako cha dhambi.!!😁🙌🏿🙌🏿
@IAmDonawon Hey Mr. Muyiwa, I really admire your work. I’d love the chance to be managed by you. I got the talent and can do different global sounds. I believe with your guidance, we could build something big.Let me know if you had be open to hearing more.@IAmDonawon
Sababu nyingine kwa wapenda sex wote duniani imepatikana,ukifanya mara kwa mara huzeeki haraka😁
☓ Bila followers ni kujiongelesha ✍️ Reply handle yako hapa ✍️ Like handle zilizowekwa na watu ✍️ Mtu aki like handle yako mfollow ✍️ Mtu akikufollow follow back ✍️ Mwisho kabisa mnifollow @humphreyPallan5 Kwa pamoja tutafika 10k ✌️👇....
Eti @grok ni mtu gani maarufu anachukiwa sana hapa Tanzania? Kulingana na data zako
Umri Kati Ya Miaka 25 hadi 35 ndiyo Wakati Sahihi Wakutengeneza Maisha. Tusifanye Makosa..