#TeamPixelTz 🇬
@thinker24hr
|| MUUZA SIMU MPYA & USED ABROAD || Founder @calisah_genuine || Delivery IPO • nasafirisha mikoani || #TeamPixelTz || 📞0628139218 Tap Whatsap Me👇🏽
Kindly Retweet🙏🏽 💻 Macbook Air ▪️2019 ▪️intel: Core i5 ▪️8Gb Ram / 256Gb ▪️Clean condition 🧼 Bei 880,000/= Tsh 📞0628139218 | 📞 0747689218 📍Dar es salaam | Mikoani Tunasafirisha 🚌


Natengeneza picha za ukutani picha za frame,picha mbao kwa size zote. Na kwa Bei rafiki na nzury. A4.10,000 A3.20,000 A2.45,000 A1.90,000 Chagua picha zako, za familia yako nitumie WhatsApp number 0677523114 Tupo👉Dar👉kigamboni Nafanya deliver popote. 📍Repost📍
Mkurugenzi Mtendaji wa ChatGPT, Sam Altman, amesema watu wanashiriki taarifa binafsi na ChatGPT bila kujua kwamba mazungumzo hayo yanaweza kutumika kama ushahidi mahakamani katika kesi za kisheria. Msije kusema sijawa Sanua.
Mwanaume wa kisasa haombi attention… Anaivaa! Karibu @suitmseleleko – Chimbo la suti kali zenye material ya kipekee kutoka Uturuki 🇹🇷, tayari kuvaa, zenye mvuto wa hali ya juu. 🧥 Suti ya piece 3 (Koti + Suruali + Kizibao) — TSH 180,000 🧳 Safari Suit Original — TSH 170,000 👔…
Kama huyo mwanamke wako katola story zake huwa anaonekana anamchukia Baba yake, kaa naye mbali kimbia.
Kuwapa vitu bora ni moja ya malengo yetu kila muda, hutajutia kuwa mteja wetu tuambie upo wapi tukuletee perfume. ☎️ 0678213259
Kazini wanajua Nina nizamu ya kuwahi kazini kumbe mwenzao na wahi ili nitumie WiFi 😂😂
Maisha Saivi Nimewaelewa Wale Wajomba zetu Waliokuwa Wanatupa Ahadi Ambazo Wameshindwa Kutimiza.
Ni wakati wako sasa wa kutokuwa mnyonge bet na #DBbet 💥💥💵 Jisajili leo DBbet, kisha pakua App, Deposit 5,000/= hadi 10,000 watakupa Tshs 100,000/= kama Bonus Promo Code andika 👉MZUNGU Link ya kujisajili ⤵️ url-shortener.me/2EMO Weka promo code upate bonus💥💥💵💵
Hakuna zawadi nzuri utaipata kwingine kama UHAI na AFYA njema inayotoka kwa Mungu. Good morning God's People
Jana zimeokotwa ID za mademu wanavyuo pale bar ya Kacheka, wajomba kuna field yoyote inaweza kufanyika pale au tayari finalist wameshajiajiri…? 😂
Kila tajiri anakuambia work hard,discipline na pesa. Sjui invest,sjui amka mapema 😂😂😂 Ni amke mapema niende wapi? Mbona hii stage wanairuka? Niwe na disciplinena pesa natoa wapi?
B 20 mkataba wa maisha 😂. B 20 mkataba wa miaka mitatu 😬 😂-Mo ana hela wewe 😬-Simba brand kubwa
Usinunue eneo afu ujenge ghofu kama ulinzi wa kiwanja itakuchukua muda sana kumaliza hiyo nyumba au pagala. Jenga msingi na shimo la maji taka,kama plan ni kuzungusha ukuta maliza kabisa, tulia pata hesabu ya kuipandisha mpaka unaamia kabisa kwa standard upendayo.
Usijali sana kuhusu maoni ya wengine, maana watu watasema hata usipofanya chochote. Jiamini, fuata moyo wako, na uishi maisha yako kwa makusudi.
Punguza matarajio kutoka kwa watu wengine, ongeza matarajio kutoka kwako mwenyewe.