Omulangira Mulyankota
@mulyankota
Dear World #TellSamia @SuluhuSamia to #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #Tanzania
Mwanaharakati MWABILI MWAGODI raia wa Kenya aliyetekwa Kigamboni DSM amepatikana akiwa ametupwa Kaunti ya Kwale, Nchini Kenya. Imagine WATEKAJI wamemtesa na kuingia gharama kumsafirisha mpk nchini Kenya. Ina maana kuna uwekezaj mkubwa sana kwenye hu mradi wa WASIOJULIKANA.
Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) CCM HONGERA SANA: Mmekula Ng’ombe mzima, Msishindwe kula mkia. Kwa moyo wa dhati nawapongeza CCM kwa kuitisha na kuendesha Mkutano Mkuu Maalum kwa mtandao. Nawapongeza zaidi kwa kufanya mabadiliko madogo (kwangu ni makubwa) ya katiba ili…
Petition · End Electoral Irregularities and Strengthen Democracy in Tanzania - Tanzania · Change.org change.org/p/end-electora…
ANAANDIKA ALFRED SOTOKA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA RUKWA. Nimepewa taarifa zaidi sasa hivi kwamba, Baadhi ya waliokamatwa Wamepigwa saana na Kuzimia na wengine wawili inasemekana wamekufa na Polisi wanafanya mpango wa kwenda kuwatupa porini kusikojulikana .
ANATUTAARIFU MBUNGE WA NKASI KASKAZINI MKOANI RUKWA MHE.AIDA KHENANI "Kesho Julai 27,2025 ninakikao cha ndani cha kuzungumza na wananchi wangu Wa NAMANYERE ajabu leo Julai 26,2025 niliitwa Police nimekaa kikao na OCD wa Wilaya ya Nkasi kwa zaidi ya Masaa Matatu tukibishana…
🚨 VIRAL ALERT 🚨 ‼️Tanzania's Election Commissioner Caught in Massive Lie: 37M Voter Claim for 2025 Defies Population Math‼️ Tanzania's Electoral Commission claims 37M registered voters for 2025, up 29.55% from 29.7M in 2020. But with a population of 70.5M, 44.8% under 15, and…
Tumeshtushwa na taarifa za kushambuliwa kwa wanachama wa @ChademaTZ2 waliokuwa kwenye kikao cha ndani mkoani Rukwa. Polisi wamevamia na kuwapiga vibaya wanachama wetu, huku taarifa zikieleza kuwa watu wawili wamepoteza maisha! Kinachosikitisha zaidi ni madai kwamba Jeshi la…
Leo hii Samia ni Raisi baada ya kufariki kwa JPM. Samia akawa raisi tangu 2021 mpaka 2025. IKITOKEA Samia kafariki 2026 inamaanisha NCHIMBI atakuwa Raisi mpaka 2030. IKITOKEA Nchimbi amefariki 2031 inamaanisha makamu wake atakuwa RAISI MPAKA 2035. Huu ndio mwelekeo mpya wa…
‼️🚨SAMIA CLOSES THE COMMERCIAL HALL WHERE CHRISTIANS WERE PRAYING🚨‼️ The Glory of Christ Church believers were praying in a hall that is usually commercially available for hire Reports say after district commissioner Msando attended their gathering last week, this week in fury…
🚨 SHOCKING: Tanzania Election Commission claims 37M registered voters, but where’s the data? 🤔 CCM accused of lying to rig elections & steal power! 🗳️ Demand transparency NOW! #NoReformsNoElections #TanzaniaElections 🇹🇿
‼️🚨USHAURI KWA CHADEMA🚨‼️ Kama msajili wa vyama, mahakama na tume ya uchaguzi wanafumbia macho UPUUZI huu wa kukiuka waziwazi Katiba ya chama na nchi. Na wanaacha kikundi kidogo ndani ya CCM waje kurekebisha AFTER THE FACT katiba yao tena kwa mitandao na wahusika wako kimya…
Baba yangu amepatikana salama, ingawaje sim yake inashikiliwa kwa uchunguzi. Mtu kukamatwa kwa namna hii ni UTEKAJI kupatikana kwake ktk nchi hii ni bahati kwa kwl, sidhani kama kuna yeyeote anaweza kudhani yupo salama. Hata ambae hapigi kelele kukemea UTEKAJI na yeye atatekwa tu
😭😭Baba yangu ametekwa na watu waliojitambulisha kama TAKUKURU, Wamemkamata njian akilekea hospital ambapo namuuguza mdg wangu hapa. Inanilazim kumuacha mdg wangu hapa kufatilia swala hili. Hu sio utaratibu.
Okay kura ziko 300 na kuna watu 100 kwa jimbo/ Na kituoni hakukuwa na watu halafu ameshinda kwa kishindo/ 😁 #Replay 🏆
Tume ya Mama imesema watu wamejiandikisha Million 37.6 -Sensa ya mama 2022 inasema TAIFA lina watu Million 61,741,120. -Working ages population years wa mama ( 15-64 years) ni Million 33,000,224. -Elders population wa mama years 65+ ni Million 2,340,908. Elimu×3 😅
TUME YA UCHAGUZI (INEC), ACHENI UONGO! Tanzania, idadi ya watu kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 ni watu 61,741,120. Idadi ya watu kwa makundi maalum ya umri inaonesha; Wanaume ni 30,053,130 na wanawake 31,687,990. Ukiondoa watoto miaka 0 – 17 ambao ni…
Mwabili is Missing! Abducted by Samia’s Government and this is SCARY to even think about. Let’s pray and SHOUT for his release #FreeMwabiliMwagodi