MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
@davitheempire
Generally talk a lot about #M4C #KatibaMpya #ManchesterCity #HumanRights #ChangeTanzania 🏆 A Business man- -C.E.O of Next Zone Shine Wear Group.
"CCM haina uwezo wa kututoa walikotukwamisha":-Hon Freeman Mbowe

Kumbe mabadiliko mnataka ila yale yanayowanufaisha ? Sasa tunasema BADILINI SHERIA NA KATIBA tuwe na uchaguzi wa huru na wa haki na #FreeTunduLissu #NoReformsNoElection
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema wameamua kurekebisha Katiba ya Chama cha Mapinduzi ili kuruhusu Kamati Kuu ya CCM Taifa iwe na nafasi ya kuteua Wagombea wengine nje ya majina hayo matatu yaliyopitishwa na Kamati za Siasa za Wilaya na…
Sasa nimeligundua hili; Kutoka kwa taarifa alizopenyezewa dada @mangekimambi ni kwamba mama yenu alipata fununu kuwa wengi wa waliopitishwa kwenye yale majina matatu kutoka huko majimboni kwenye nafasi ya ubunge ni watu wa nchimbi, na kuna fununu pia kua nchimbi anautaka urais…
Nyie ndio mnafanya Wachaga tunaonekana watu wa hovyo.. Daah tustirini basi Wakuu
Nabii wa laana @godbless_lema njoo hapa kuna ujumbe wako😂😂😂
CCM inabidi itangazwe kama KIRUS hatari corona ikasome Yaan kwa nchi yenye asilimia 49.1 watoto chini ya miaka 17 inawezaje ikawa na idadi kubwa namna hii ya wapiga kura ? Ni jambo HATARI sana kama ccm wameanza kucheza na ELIMU kiasi hiki....


Soma hizo takwimu alafu linganisha na takwimu za tume za millioni 37.6 uchaguzi umeishaporwa kabla hata ya siku ya kupiga kura. Hii tume ya mama imepanga kumpa kura ambazo hazijawahi kuwepo. Uongo, uhuni Watanzania tusiruhusu uhuni huu kutokea baadae tunalalamika.…
Dear World #TellSamia @SuluhuSamia to #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #Tanzania
Gigi Msando alikuwa anatafuta njia ya kutatua hili tatizo ila waliofungia kanisa wakamfuata na kumwambia " hii njia inayotaka kupita haitoki."
Twende kazi ✊🏽🔥 #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili Acha kutuaibisha @SuluhuSamia #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili
Mwabili is being held by Tanzania’s security agencies. @SuluhuSamia’s government is openly and obviously targeting Kenyans in Tanzania. #FreeMwabiliMwagodi
Katika hao 13 millions ni wanachama wa CCM kwamaana hii hakuna anae weza kushindana na Samia in anyway Bora mlivyo jitoa mapema Sana huo ndio uzalendo na democracy ya kweli kumwachia mkubwa wako kila kitu
Ndio habari wanayoandaa hii na wataenda nayo. Yaani mgombea wao tayari wanajua atapata kura ngapi na atashinda kwa % ngapi. Baada ya uchaguzi tutarudi tunalalamika na maisha yanaendelea. Tanzania tunayoitaka labda itakuja kupambaniwa na kizazi cha 8 toka sisi. Sad very sad
Imagine watoto chini ya u.ri miaka 17 ni aslimia 49.1 kwaujibu wa SENSA 2022 na watoto chini ya umri wa miaka 15 n i asilimia 34.5 sasa hilo ongezeko limet9ka wapi 😅😅😅😅😅

Bwana @Mwitah_tz , unafahamu kwamba zaidi ya asilimia 47% ya watanzania wana umri chini ya miaka 17?🤔🤔 Does it shawishi you kwamba watanzania wote wenye sifa wamejiandikisha kupiga kura?🤔🤔
Mwanaharakati wa Kenya ametekwa na watu wasiojulikana nchini Tanzania. Hivi Serikali ya Idd Amin Mama inajua ni ujumbe gani inatuma uko Duniani?
Ila huyu mama mchonganishi sana YEYE kajipitisha bila RIDHAA ya wajumbe kumjadili halafu wenzake wanajadiliwa😅😅😅😅😅

Kwahiyo wagombea watatu kwenye ubunge sio busara ila mgombea mmoja urais ni busara? Hizi akili za wapi?😂😂😂