Mini🧤
@_Minihaji
|| Content Creator || I Love my Life 💙 || Don't beg anyone to stay in your Life 😉 ||
Future ni moja kila Mtu ana muda wake kama future ni kesho basi kuna ambao muda wao ni saa moja wengine saa mbili wengine saa nne na kadhalika. Haijalishi mmesoma pamoja mko rika moja, muda wetu wa future haufanani usijilinganishe kwa kigezo cha umri kukua au kusoma pamoja.😦
Mmefikia Wapi na Huyo Mpenzi Wako Uliyekuwa Unamsaidia Kipindi Hajajipata.🤔
Kuna Ndugu yangu aliniambia nikimaliza Chuo Kikuu nimtafute. Tangu Jana nampigia simu haipatikani, nifanyeje? 😭
Apart from a lot of money,what else do you want right now?
Hawa ndo vijana ambao Lissu anawapambania ?😁
Hivi wakuu Kunayo Dawa ya Kupunguza Nguvu za Kiume kama mtu anazo nyingi.?😁
Hivi wakuu Kunayo Dawa ya Kupunguza Nguvu za Kiume kama mtu anazo nyingi.?😁
Makolo nina ujumbe wenu hapa 👇 kutoka CAF !!
It goes as he pleases! Lassine Kouma sure entertained in the #TotalEnergiesCAFCC 2024/25 season. 🙌
It goes as he pleases! Lassine Kouma sure entertained in the #TotalEnergiesCAFCC 2024/25 season. 🙌
BRO TO BRO 😎 Ukichukua simu yake, Usisahau kwenda WhatsApp pale Kwenye Chats juu kabisa…! Ka’search “Nipo Njiani” “nimefika” “Nimefika salama” “Ahsante nimepata” “Nakupenda Pia” HUTOJUTIA MAAMUZI HAYO🤝
Wakuu wale wapenzi wa fantasy league nataka niazisha league kama utakua tayarii ku join utani DM one week before ligi ya EPL kuanza nikutumie code u join pia tupendekeze jina la hiyo league kweny comment section 👇
Moja ya maamuzi magum na mazuri ambayo Florentino Perez anaenda kuyafanya ni kimtoa huyu kiumbe kwenye timu yetu. Nauga hoja Vin Jr Out Erling Halaand. 🤝
Nani bado sija mfollow adi sasa ivi 👇 Drop handle yako tukufolo saiv chap 🔥
Sio Kila Mtu Ana Ndoto Ya ndoa Wengine Tumechagua Njia Nyingine Ya maisha Mungu Atubariki sana 🙅♀️🎠
Unamsindikiza Kwao Fresh ile Mmefika gafla Mama Ake Analopoka Baba Wewe Ndio Huwa Unamletaga na GARI Usiku.😂
Kuwa na mimawazo mingi, bila uthubutu wa kuanza kuyatimiza ni kupoteza muda tu... ✍️✍️
Brothers and sisters...siku utakayo weza kujua kuwa kwenye mahusiano Yako...thamani yako ni sawa na yamwenzako utakuwa umepiga hatua kubwa sana kifikra Anaumia kama unavyoumia wewe ukimfanyia mambo ya hovyo🙌🙌