Ms Bee🌹
@Mrsdaviee
IWIFE TO @Daviedavie_ | MOTHER OF 3 KIDS |NKOSIYAMI| GOD OVER EVERYTHING| NAPENDWA SANA| I LOVE YOU DAVID❤️
Asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo kutoka Tabora. Bei zake zifuatazo NYUKI WADOGO Nusu lita - 15,000 Lita 1 - 30,000 Lita 3- 90,000 Lita 5- 145,000 NYUKI WAKUBWA Nusu lita- 7500 Lita 1- 15,000 Lita 3- 45,000 Lita 5- 70,000 Delivery ipo na mikoan natuma 📍 Tupo kariakoo…


Nimenunua dagaa wa buku nikasonge na ugali nile cha ajabu dagaa wameisha kwa kudokoa mmoja mmoja 😂😂
Appreciate Tweet kwa Manager wangu JOSEPH MCHOMVU... Wachaga na Wapare ni watani ila linapokuja suala la kazi we're so so friends!!! 🥂
Vitunguu Swaumu Mnavichukulia Poa Tuu, Lakini kama utameza Punje 2-3 Kila Siku, Nakuhakikishia Ndani ya Wiki 2 Tu Utaanza Kuona Mabadiliko
Neno Kongole wala sio neno la kiswalihi ni Wachaga tu na janja janja za kushindwa kusema Congratulation tukasema Kongole..
Kwanini kwenye jamii ya kimasai sijawahi kuona kilema wala albino?
We Love Feedback.... Gauni kama hii ukinipa kitenge nakushonea kwa 25k tu. Tunakuwekea line ndani.👌🏿👌🏿 ☎️0766881415 🌸 Kama upo mbali unaweza ukanitumia vipimo vyako.
Hivi kuna mwanaume mwenye akili timamu kamruhusu mke wake aende alone dodoma?
Kuna mteja nilimuonaga potential kabisa jinsi alivyokua anauliza maswali anaonekana nia ya kununua ipo nkasema huyu ntamfanyia follow up kwa ukaribu sana😂😂😂 heh nakuja shtuka kaanza post kampuni ya Viwanja Nilichoka😂
Grateful... Humbled... Blessed 🙏🏾 🎂🎉🎈 As I celebrate another year of life, my heart is full of gratitude. To my family and relatives, your love is my anchor and everything I need in this life. To my friends, you color my world with laughter, encouragement, and light. Thank…
Nyuki wakubwa 5L pure kabisa 🔥🔥🔥 ✅Imechujwa tayari kwa matumizi yote ✅ Haijachakachuliwa kabisaa ✅Kwa 75,000 tuu Njoo nikulambishe asali bure kabisa


Mathayo 5:19-21 19.Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba; bali jiwekeeni hazina mbinguni, 20. kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi; 21.kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Watoto 2 wa kiume wa mtaani hua wanakuja hapa wanapewa chakula wanabembea wakichoka wanaondoka. Sasa mteja kaenda Chooni kakuta kumefungwa!! Mara anaskia sauti “maliza haraka tutoke”ndio kusukuma mlango anakuta mtoto mmoja kainama kengine kamesimama nyuma wako uchi! Wamepigwa🙌🏾🙌🏾
Kuna tukio nimelishuhudia mpaka sahivi tumbo bado linaniuma kwa mshtuko!!
Mke wako akikupeleka polisi ukakaa huko kwa wiki 2 baada ya kumpiga kwa kuwa alikosea ni hatua gani utafanya baada ya kurudi home?
Naomba kuuliza swali! Kama mfanyabiashara ana biashara yake na kaisajili TRA analipa kodi kama kawaida na frame yake pia kailipia kodi TRA Anapotaka kupost biashara yake kwenye mitandao ya kijamii analipia tena kodi? Au hii kodi ni kwa wale ambao wanafanya online tu no frame?