Chaurembo 🇹🇿
@FatmahShokat
Media Personality♤ Chef👩🏽🍳♡ An ♈⏭ #MaishaYangu Documentary Dstv ⏭#PillowTalkTimesFm ⏭#LalaByEfm CEO of @ChauremboFood & Chaurembo Holdings Ltd 🛅🌹🦋🌷
Kwa mfano kama vile alivokua Anachamba marehemu Dida redioni ilikua inahitaji cheti kweli zaidi ya mdomo?😂😂😂. Walikua tu wanafundishwa On Air ethics zile do and don’t kushusha na kupandisha Feder anapewa na mtu wa kukaa nyuma ya machine baasi kipindi kinaenda hewani
Nadhani Tz wangekua wanazingatia Sana Experience, kuna Sehemu Sio za experience kama doctor, pilot etc ila haya mambo ya media ah! Wawaache Tu jamani Wana uwezo mkubwa Sana Kuna vitu vingine haviitaji ata mavyeti
Nilitaka kusema kipindi kile Kipanya alikua anachoraga kichwa cha jiwe kina komwe na mabonde mabonde yule mzee aliishiaga kucheka tu, ila raundi hii 🙌🏾.
Akili kisoda.
Story za uongo lakini sawa hongera Kwa script nzuri
Walivyokua wanapigwa niliwaonea huruma maana kama wezi walikua hadi wanawakanyaga. Nakuja kuambiwa walichokua wanafanya hadi nguvu ziliisha na tumbo likaniuma🙁
Ungewapiga tena
Us those, absolutely nothing
But wait! So, nothing really happened to those people who refused to take Covid-19 vaccine.
Watoto 2 wa kiume wa mtaani hua wanakuja hapa wanapewa chakula wanabembea wakichoka wanaondoka. Sasa mteja kaenda Chooni kakuta kumefungwa!! Mara anaskia sauti “maliza haraka tutoke”ndio kusukuma mlango anakuta mtoto mmoja kainama kengine kamesimama nyuma wako uchi! Wamepigwa🙌🏾🙌🏾
Kuna tukio nimelishuhudia mpaka sahivi tumbo bado linaniuma kwa mshtuko!!
Kuna tukio nimelishuhudia mpaka sahivi tumbo bado linaniuma kwa mshtuko!!
Nimepata feedback nzuri ya mtu alikua anatumia Mziwaziwa nilimtumia nje ya Kahama amepata Ujauzito!! Aisee furaha niliyonayo ni kama mie ndio nimepata🥹🥹 I am so happy for her Wallah #NatureHeals
Ila nimegundua kuna watu Acc tunazoziona hawaendeshi wao maana unamjua kabisa akili za kujibu hoja hana. Wanaandikiwa vya kupost kiasi kwamba ukimbishia jambo kwa hoja anaenda kwanza kuulizamaboss zake nijibu nn pale?😂 akiandikiwa jibu ndio anarudi mbio kucomment. VILAZA WAKIBWA
Kuna vile vitu ukikuta vinauzwa unasimama kwanza 😄, wakishua hamuezi kuelewa haya mambo 😆

Huna lolote wataka kuntapeli moyo wangu nimekustukia😂
Nitakupa mahaba ujue 😂
Swali unaloliwaza ukatamani niliandike hapa liulize wewe mwenywe usitake kuniletea shinda mimi.
Baadhi ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa; 1.TPA 2.TAA 3.NHIF 4.TCRA 5.PPRA 6.BRELA 7.HESLB 8.EWURA 9.TACAIDS 10.SUMATRA 11.TAKUKURU 12.TANROADS
Blind couple faces criticism for trying to raise a baby. Thoughts? 👀🤔https://t.co/ZGDeD351xp
Kama Mpemba tu anavotakaga nimhonge flight ticket eti aje khm😂😂
😂😂
Wataniua njaa sasa hawa 🥺🤧
Kinachofata NI leseni za kupika Biriani... Kesho ijumaa hatupumui... Biriani zina RANGI mpaka za CCM
Devota unachosema ni kweli kuna watu wamevamia Tasnia kama kina Baba Levo, Mwinjaku, Dk kumbuka na wengine wengi. Lakini Fetty, Masoud kwa uwezo na muda waliokaa kwenye media experience wako nayo ni sawa kuwafungia kweli? Isiwe unatete sababu wakuone uko upande wao daada
Kama huwezi kuwa Daktari au Mwalimu bila kusomea kwanini tunataka watu wasio na taaluma ya Uandishi wa habari wawe Wanahabari? Wanahabari professional wako wengi waajiriwe na kupewa nafasi badala ya kuangalia kipaji pekee.
Gucci Mane’s wife, Keyshia Ka’oir, says Gucci doesn’t have to do anything but shower & music because she takes care of everything: “It's not because I have to, but because I enjoy doin’ it. I don’t want him to worry about the bills or what he gon’ eat”
Sina ukuta wala similiki ukuta wowote kwenye hii dunia mkuu
Binti Shokat mimi nataka ukuta wa makuti tubomoe wako tuweke makuti 😂😂