M.D (🅨)
@ReganTesla_
M.D & Life Coach 🌳 ✊🏿GOD 1st https://wa.me/message/N6QE4D5U5IK2B1 🏚️ APPLIANCES STORE. GENUINE PRODUCTS. TV, FRIDGE, AC, SOUNDBAR & ....... 📞 0716006808
Formula ya maisha yangu ipo hivi! -Kila kitu kwenye maisha nimemkabidhi Mungu -Naepuka hasira kwa gharama yoyote -Sipendi kumuona mtu anaumia au kusononeka -Sijiwekei matarajio makubwa -Sina marafiki (Nina watu wakaribu) -Sikai na chuki dhidi ya mtu -Kwangu pesa ni baada ya utu.
Mkuu! Heshima yako. Nakubaliana na mengi sana uliyosema ila nakupinga kwa uchache. Siasa sio kama biashara kwamba hata kwakuwa sisi ni majirani kila mmoja atauza kwa wakati wake. Siasa ni kama mchezo wa mpira, urafiki wa maeneo haya ni urafiki wa nyakati na mipaka. Haiwezekani…
Mimi Siyo CHADEMA, Wala Sifungamani na Msimamo wa CHADEMA katika utekelezaji wa majukumu yangu au mahusiano na rafiki zangu. Mimi ni mwanachama wa NCCR-Mageuzi, chama ambacho naamini katika misingi yake ya awali ya kupigania mageuzi ya kweli. Hata hivyo, sitakiwi kuwa mtumwa…
Mkuu! Heshima yako. Nakubaliana na mengi sana uliyosema ila nakupinga kwa uchache. Siasa sio kama biashara kwamba hata kwakuwa sisi ni majirani kila mmoja atauza kwa wakati wake. Siasa ni kama mchezo wa mpira, urafiki wa maeneo haya ni urafiki wa nyakati na mipaka. Haiwezekani…
Mimi Siyo CHADEMA, Wala Sifungamani na Msimamo wa CHADEMA katika utekelezaji wa majukumu yangu au mahusiano na rafiki zangu. Mimi ni mwanachama wa NCCR-Mageuzi, chama ambacho naamini katika misingi yake ya awali ya kupigania mageuzi ya kweli. Hata hivyo, sitakiwi kuwa mtumwa…
TCL 55" Smart TV 980,000/= TZS Bluetooth ✅ Wifi ✅ YouTube 🔥 Netflix 🙌🏾🙌🏾 Dolby Audio 🔥 4K resolutions ⚡ Call/Whatsapp 0716006808

Jamaa habari za Chelsea anatangaza kwa msisitizo sana. 😄
🔵🇳🇱 Xavi Simons and also Jorrel Hato: Chelsea advance in talks to get both. 👀
Asante sana Mwanakwetu!! Hatutarudi Moshi ng'ooo. ORDER!! Call/Whatsapp 0716006808

LG soundbar 300W kama utawahi ni Tsh 450,000/= 2.1 Channel Dolby Audio 🔥🔥 Call/Whatsapp 0716006808

Solarmax 43" Smart TV. Biashara hii tuimalize mapema kwa 430,000/= Call/Whatsapp 0716006808

Yaani mtu anaekatisha hapa jioni wakati wa kurudi nyumbani umwambie kwamba Nchi hii kuna Umaskini akuelewe?? NEVAAA!!!

Post unachouza! Weka Bei na mawasiliano mteja yupo humu humu... TCL 55" Smart 4K UHD Tsh 980,000/= Call/Whatsapp 0716006808 Repost tafadhali 🙏🏾

Tunazo TV kampuni zote Tunayo FRIDGE makampuni yote Tunazo WASHING MASHINE Tunazo SOUNDBAR Tunazo FENI na AC Yaani tuna kila kitu ni wewe tu call/Whatsapp 0716006808 Sehemu ndogo sana ya mshahara wako inatosha kupata bidhaa nzuri dukani kwetu. Ukiona hili tangazo pls REPOST


Chelsea inaweza kufika siku wakakatazwa kujihusisha na masuala ya soka kabisa 😅. Wewe timu gani kila mchezaji mzuri inamtaka na inampata?? 😅
🚨🔵 Understand Chelsea are advancing in talks with Xavi Simons on personal terms! Xavi, keen on the move and open to joining Chelsea… direct talks in progress to agree contract details and terms. Chelsea want to be fast ahead of club to club talks with Leipzig.
Destiny Helper sio mtu anakupa pesa na kukulisha kila siku ila ni mtu anayekutoa kwenye kumtegemea yeye na kuanza kujitegemea anakutoa kwenye comfort zone na kukupa changamoto ya kutambua Mungu alichokiweka ndani yako, omba Mungu akukutanishe nae🤝🙏
VIDIC 15 🏷️ = 50,000 Sizes; S - XXL 📞; 0715 950 110 📍; Kariakoo (Congo/Narung'ombe, Handbags Tower,1st Floor)
Huyu ateuliwe na Rais? Pesa tu anapiga nazo picha, Je! Siri za Serikali?
VIDEO: Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria katika Baraza Kivuli la Mawaziri la ACT-Wazalendo, Wakili Peter Madeleka, amesema kuwa iwapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atamteua kuwa mbunge kupitia nafasi 10 za uteuzi wa Rais, atapokea uteuzi huo kwa heshima, akisisitiza…
Unaamua vizuri tu leo unatoka na Babe out! 🥺 Sasa kwanini mkifika huko wewe unakuwa tena busy na simu tu Mkuu?? Badilika Mkuu! Hiyo simu weka silent ongea nae huyo mtoto wa kike hesabu meno yake.
Ile kumpa Nchimbi nafasi ya kuwa Mgombea mwenza tu ilikuaa goal la ugenini. 😅