C.O.D.E
@MTUBAKI98
Manchester united // simba sport club
Italian Relationship: 1st day= Sex 2nd day= Sex again. French Relationship: 1st day = movies & kiss 2nd day = Sex 3rd day = Sex again British Relationship: 1 day= hangout & kiss 2nd day = kiss & hug 3rd day= kissing, hug and smooching 4th day = sex and more sex Sex thread

Lile Pigo la Mwisho Lanyundo Lililovunja Na Kusaga Kokoto Halimaanishi Kwamba Yale Mapigo Kumi ya mwanzo Ni Bure , Mafanikio yanahesabu sana Consistency,Usichoke Man 🫵👊
Fanya ibada, Tafuta fedha zako halali, Samehe walio kukwaza, Tunza afya yako na ishi maisha yako.
Vifaru wako wanakula vzuri kuliko mimi😢😢😢
Vifaru wanakula tikiti maji. Ukilisha hivi huji kukuta wanahalisha ovyo 🫵 MTAAALAMU wa Vifaru hapa😁
[®]™ What if Manchester United wins the Premier League this coming season. 👀
Uchape mtoko huu Afu mfukoni una li 200k halina kazi. Unarudi Ghetto kama umetoka Heaven
Ameen
Before 30th you will receive money to settle your bills. God will make a way!
Chumvi Haina Thamani Kwa Anaye Kunywa Chai Kama Ilivyo Sukari Kwa Anaye Kunywa Supu. Hivyo Basi, Amini Hata Wewe Ni Mtu Wa Thamani Sana, Ila Ni Vile Tu Sehemu Ulipo Hakuna Uhitaji Wako.
What if Chelsea are low-key working on Mbeumo's deal cus those bastards are capable of doing the unthinkable sometimes.
Dear son, Never sleep with low-quality girls just because they're easy. You will absorb their bad energy.
Mapenzi hayawezi kulipa bili, na pesa haziwezi kukusaliti kamwe. Usipoteze pesa kisa mwanamke, Bora umpoteze mwanamke kisa pesa pale inapobidi. Pesa inaboresha maisha yako, mwanamke pia anaweza kuboresha maisha yako, ila sio wanawake wote. Chagua pesa, Ndio chaguo salama.
Muulize dada wako wa kazi alizaliwa lini. Siku ya birthday yake muandalie keki mfanyie chochote siku hiyo kwa gharama zako na mtafutie chochote kama zaidi mfano nguo n.k. Hautakuja kujutia..
Habari za leo kaka? Naomba utusaidie kupaza sauti ili haki iweze kutendeka. Mdogo wetu Enock Thomas Mhangwa (25), mkazi wa Runzewe, Geita, ameuawa kwa kupigwa na viongozi wa serikali ambao ni Afisa Mtendaji wa kijiji cha Uyovu anaitwa Budimu na Afisa Mtendaji wa kijiji cha…
Namtafuta Mke Wangu Namtafuta Mke Wangu Hapa Hayupo Hapa Hayupo Nuksi Zilianzia Huku...!😂
Hii nayo huwa inahesabika kama assist au??
Antoine Semenyo is more than just quick feet 😅