Myunani
@MaxTz255_
||Doctor, Dalali D²🏡🩺|| Affordable internet bundles for all networks—stay connected|| ||Entrepreneur|| ||Ai Engineer|| Ngariba Haogopi Mkojo
𝗟𝗘𝗢 𝗡𝗔𝗪𝗔𝗣𝗔 𝗕𝗨𝗥𝗘 𝗛𝗜𝗜 𝗖𝗢𝗗𝗘; Kama una Laini ya; 1. Yas - Jiunge na Kinara Plus SME *148*44# au *148*00# (Gharama 5k Kuwezesha) 2. Vodacom - saivi Ipo Hybrid (postpaid) (Gharama 5k Kuwezesha) 3. Halotel - Nunua kwa wingi Bando za Gawia. 4. Airtel - Upgrade…




Sasa Tuachane na Hizi mishe za Kurundika Router magetoni !! Unaweza Ukawa Na Line Na Bado still ukapata Internet Ya Unlimited!!

Hapa Arusha kwa Suala la Kuoga Labda Mnijie Na Polisi 😅😅😅
Kwanza Ilikuwa nikiamka saa 05: 00 nawasha Matangazo yale ya idhaa ya BBC kupitia Radio Free Africa apo Naenda Nayo mpaka 06: 59 ivi ,Then Naswitch kwenda Wasafi Wazee wa Minyama Pale naskilza Magazeti Mpaka 08: 00 zile Dakika 5 za Kwanza napita Radio One Napita na Nyepesi…
Wanangu bila kuchoka naomba repost yako hapa , hizi mali mpya zinafunguka magotini na kuwa kama pensi.
Lile Pigo la Mwisho Lanyundo Lililovunja Na Kusaga Kokoto Halimaanishi Kwamba Yale Mapigo Kumi ya mwanzo Ni Bure , Mafanikio yanahesabu sana Consistency,Usichoke Man 🫵👊
Kuhusu Smartphone/Simu Janja/ Kivinjari Unaona Hiyo Smartphone ambayo Inakula Muda Wako 🫵 Smartphone kama Hiyo Hiyo Kuna wana Ndo Imekuwa Ajira kwao 🤣 MATUMIZI TU NDO MMETOFAUTIANA!!
Mtu unasema NRNE alafu umetuma maombi ya kusimamia Zoezi la kupiga kura. 🤣
Mambo 10 niliyojifunza Kwenye sakata la Mwamba mwenye IQ 1. Ukijaribu Kujitoa Kwenye Level Ambayo jamii nzima Ipo Trust Me Majority watakumind. 2. Pesa za Watu Humu zina Siri Nyingi 3. Usiflex Watu Hawapendi 4. Forex na Masuala yote Ya Trading kwa Bongo Hapa Hawa Mentors ni…
Mambo 10 niliyojifunza Kwenye sakata la Mwamba mwenye IQ 1. Ukijaribu Kujitoa Kwenye Level Ambayo jamii nzima Ipo Trust Me Majority watakumind. 2. Pesa za Watu Humu zina Siri Nyingi 3. Usiflex Watu Hawapendi 4. Forex na Masuala yote Ya Trading kwa Bongo Hapa Hawa Mentors ni…
Hii Moment Ingekuwa Vice Versa Apa Ungeskia Mtu kala Chuma 30 🤣

Umaskini ndio unafanya tuone tukiombwa pesa Basi hatupendwi..💔 Mungu atufungulie milango, Hizi mentality ni za kipuuzi sana.. 🚮
Baridi Linakuchapa Mpaka Unamka Unaangalia Expire Date Ya Duvet 😆
Sema CRDB hii bank inabidi wafanye Reforms asee , hii bank kila mtu inampa Tabu 🫵 Wiki Hii nimeskia Watu zaidi ya Watatu wakiilalamikia 🫵