WHYMYCATISSAD
@INFLUENCERjr
Only Person on X who doesn't Claim to be a Social Media Guru. Mwanasheria wangu @MiriamMkanaka
Kila mtu anachotaka ni kujiondoa kwenye duara la umasikini, tupeane support, tuvumiliane, tupeane connection, tuombeane na tupendane. 2025 ukawe mwaka wa mafanikio kwetu sote.
#Trustory Ukiona unafanikiwa ujue ni mjumuiko wa maelfu ya settings za vitu na kila mtu aliyekuzunguka (hata wapinzani/maadui zako). Vingine/wengine huwezi hata kuamini! Na haitokei mara nyingi maishani! Let's be humble and real🙏🏾
Usiseme kitu wewe cheka tu na upite akina Spana Konki waumie 😂😂😂😂

Mashabiki wa Azam wenyewe hawana shida ila inashangaza kuona mashabiki wa Yanga ndo wanaumia sana😂😂
🚨🇹🇿 𝐅𝐄𝐈𝐒𝐀𝐋 𝐒𝐀𝐋𝐔𝐌 𝐒𝐀𝐘𝐒 𝐘𝐄𝐒 𝐓𝐎 𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐒𝐂! The iconic number 6️⃣ has agreed to a two-year deal with Simba SC, can reveal. ✍️ Fei Toto has informed Azam he won’t be renewing — his decision is final. He’s eager to join Fadlu Davids’ project and compete in…
Popote ulipo Tanzania 🚚 tunakufikishia bidhaa yako bila gharama ya usafiri, yaani nunua bati tukufikishie Bureee. Charcoal grey 🩶🎨 IT5 #mgongompana yenye chenga chenga. Geji 30 ✓ Tsh 26,000/= pisi moja, urefu wa bati ni mita tatu (3.00mtr) upana 82cm Whatsapp 0757751991
#UZI 💨 UMEPOTEZA PICHA ZAKO MUHIMU KWENYE SIMU YAKO? 📸 1. “Ulipoteza picha zako zote? Angalia hapa zilipojificha.” Watu wengi huamini kuwa wakifuta picha kwenye simu, basi zimepotea kabisa. Shuka 🧵🧵👇
Azam wana haribu hizi ngumi japo wao wanaona kama wana wasaidia mabondia wa ndani.
Mfaume ameshinda??! Huu ni ufala sasa huku sio kuwatenga mabondia wetu ni kuwaharibu 🚮🚮🚮🚮
Hawa viungo vyao vimegawanywa kulingana na upande wa kichwa. Baadhi (sio vyote) ya viungo vya kushoto mfano mkono nk vinaongozwa na kichwa cha kushoto, kulia hivyo hivyo pia.
Hapa kichwa kipi kimatumika kufanya maamuzi? Mfano huyu anataka kunyoosha mkono na huyu mwingine hataki inakuwaje?
I honestly find Abigail and Brittany Hensel fascinating and a testament to human adaptability. I'm really glad they are leading happy lives with Abigail getting married
Nkane ameshinda bhana hili pambano 😂😂🫵
Mbona kama Nkane amekamia sana??? 😂😂😂😂😂
Hey, @grok, who was the most famous person to visit my profile? It doesn't need to be a mutual, don't tag them, just say who it was
CHUPA ZA MAJI / JUISI →Ujazo ni Lita 1 TSh 13,500 #PayLessExpectMore ☎️0754604534 au WhatsApp👇🏽 wa.link/agctt5 @YourFrenchFry @raphyrodrick @INFLUENCERjr @MiriamMkanaka
Kimkakati sana hii Zablon, pole sana kaka.
Hakuna mtu anaekupenda akakosa muda juu yako.
Wewe kama umejipata kaka tulia sisi bado huku nje kugumu😁
Brother, just marry her. Things aren't as difficult as the street preaches 😁.