Baby G
@BabyG536
I FB ASAP 😊 Only peace and positive energy
TRA wanataka kukusanya kodi katika biashara za mtandaoni wakati wamefungia mtandao wa 𝕏, Telegram, Clubhouse.., kuingia huko ni lazima uwashe VPN. TRA mtakuwa mnawasha (VPN) Virtual Private Network (ambalo ni kosa kisheria) kupiga doria hapa na pale ili kukagua aliye’ post…
Kuna namna ukikua majukumu yanavyoongezeka kuna vitu unaviacha nikikumbuka nilikua naamkaga alfajiri kufatilia NBA niangalie kikapu af nikimaliza niangalie habari za kimataifa 💔
Leo ofa free delivery Dar es Salaam nzima, unataka perfume.? Upo wapi.? Nipigie 0678213259
Dear young dads, USIPELEKE mtoto kanisani halafu wewe ukabaki kwenye gari. Unamharibu. Ibada, hata kama inaboa, huwa na thamani kwao pale watoto wamwonapo baba anashiriki. Labda home waliwahi kuona unafumba macho, lakini wamwone baba akifunga macho kanisani anakuwaje. It's…
Unakosa Mtu Wa Kumpiga Tukio Kwenye Mapenzi Unaenda Kumpiga Tukio Mdada Anayekaa Kimara Kweli, Yani Maumivu Ya Kugombania Mwendokasi Unamletea Na Maumivu Ya Mapenzi Kuweni Na Huruma..😂😂😂
Bro To Bro Ukidate Na Mwanamke Zaidi Ya Miaka Mitatu Huyo Muoe Tu, Ukienda Kuoa Kwingine Tutaimba Parapanda..!! Na Usimuahidi Mwanamke Kwamba Utamuoa ili Tu Utimize Haja Zako Halafu Umuache, Usije Sema Hukujuaga..!!
Tuombee taifa letu sasa nmepata maana🙏
Kwako @SuluhuSamia pokea unabii huu Nimetimiza wajibu sina deni Mene mene tekel 🙏🏽 #NoReformsNoElection
Ukiona Mwanaume anakandia Wanawake kwa mtazamo wa kuwasema vibaya au kumdharau kila mara, basi kuwa na mashaka makubwa kuhusu afya yake ya akili. • Heshima kwa mwanamke ni kigezo cha ustaarabu na afya ya akili kwa mwanaume.
Hakuna day nimecheka km leo hzo comments kumbe wanaume mnapitia mateso hivyo
Swala la chumba cha mtoto wa kiume kuwa store ya familia limetulazimu watu wengi sana tukapange haikua rahisi Kuchangamana na mifuko ya cement, toroli, jembe, mkaa, ndama ,pamoja na mbao
Kumbuka Huyo mwanaume alikua anapambana pia so na Mwanamke nae anapambana, sasa Nyie hampambani Kwa lolote mnataka wawavumilie 😂Lazima energy ziendane
trh km hzi ndo ukienda shoppers au mlimani city unakutana na watu wengi wamekuja tanua