Binamu
@Binamu01
Panaitwa lyebe mimi napaita nyumbani.
Upendo wa kweli upo, lakini mara nyingi unakutafuta ukiwa huna muda wa kuupokea.
Karibuni kwa mamantilie …Mafundi nasubiri oder zenu wapendwa wangu🙏 Unahitaji mtu wa kuwalisha vibarua wako mamantilie nipo{kwa dodoma} Mafundi mama yenu nipo hapa .. Karibuni sana🍲🍲🍲 ~Sgr Dodoma ~kituo kwa mdumi opp na Trc Hq
KARMA IS REAL IN 12 MINUTES YOU WILL GET GOOD NEWS AFTER SEEING THIS POST SAVE IT, USE IT, AND DON'T RISK THE SKIP, KARMA IS REAL. TYPE "YES”
Ukijiunga unapata bonus, ligi zimerudi watu wanakula hela umebaki wewe tu... KAMPUNI NI #DBbet Huna account? Jisajili (Register)👇 Link 👉url-shortener.me/2EMO 🌺Promocode Andika: MZUNGU Weka promo code upate bonus
Kuna hii meta Al ya WhatsApp unamtext 'Mambo' linajibu 'poa inakuaje' alfu linafuta linakwambia "I don't understand Swahili yet but am working on it" 😅
Sina shida na namna watu walivyo amua kuishi,,ila ili la kumuona mshikaji anajichubua halivumiliki
Tulilala na mungu tumeamka na mungu,dua ni ileile haso za kijana mpiganaji zikajipe.🤲
Kijana Mapenzi yakikuzidi akili, ukaamua kuoa single mother. Hakikisha mtoto anaishi na baba yake, huyo mtoto awe anakuja kumsalimia mama yake sio mama kwenda kumsalimia mwanae.
Mapenzi karaha nyie msiombe ata kuskia,,, Nishaona wajanja kibao wanaachia career,,, Ninapo ona wanafunzi nao wanataka dandiaa,, Haki ya mama nataka kulia,, Dizasta 🔥
Eti @grok ni mtu gani maarufu hapa Tanzania huwa ana visit profile yangu na kusoma nyuzi zangu? Hata kama haja nifollow.
Boda Boda nchini Uganda wakiwa kwenye kijiwe wakisuburi abiria usiku mzito na kuuchapa usingizi juu pikipiki zao. Usikate Tamaa , Safari Bado inaendelea.