DOCHA
@ALugandu
Digital Marketing || Marketer || Brand promoting || @ManCity || @SimbaSCTanzania || @FCBarcelona||Content creator|| Driver || Ambassador @Pichanzurii
ZIJUE ALAMA ZA DASHBOARD YA GARI YAKO NA MATUMIZI YAKE..! #UZI NB: TAA NYEKUNDU IKIWAKA SIO YA KULETEA UZEMBE HATA KIDOGO.


kutafuta malisho mapya na maji safi. 🌿 Kwa kufanya hivyo, nyumbu husaidia kurejesha rutuba ya ardhi kupitia mbolea ya samadi, na pia kuweka uwiano wa asili kati ya wanyama wala majani na wala nyama. 👶 Kila mwaka, nyumbu huzalisha ndama takriban 500,000 kwa kipindi cha wiki.👇
Njoo na vipande 18000 tuu 🔥💯 Delivery ✅🚚 mikoani tunatuma WhatsApp 0753103048 Kindly repost 🙏♥️
Naomba retweets hapa wakuu 🚨 HABARI NJEMA! 🚨 🌟 AIRTEL 5G ROUTER 🌟 ✅ Kasi Bila Mipaka – Furahia intaneti yenye kasi popote ulipo! ✅ Bando la Mwezi Bila Kikomo – Tumia bila hofu ya kumaliza kifurushi. ✅ Unganisha hadi vifaa 64 kwa familia yako au ofisi kwa ufanisi zaidi.
Happy birthday to me🎂 Namshukuru Mungu nimeongeza mwaka mwingine tena.
Kazi ya sukari leo ni moja tu, kukusanua mambo mazuri ambayo yapo kwenye jukwaa la Instaprenyua. Tunakusubiri wewe tu, huku mambo yameanza lakini kama upo mbali unaweza kutazama LIVE kwenye ukurasa wetu wa YouTube kwa link hii hapa 👇 youtube.com/live/QTweyZUIi… #instaprenyua2025…
Wewe bado unasema ntaangalia baadaye Acha uvivu, ingia YouTube kabla mambo hayajachacha! 😅🔥
Kazi ya sukari leo ni moja tu, kukusanua mambo mazuri ambayo yapo kwenye jukwaa la Instaprenyua. Tunakusubiri wewe tu, huku mambo yameanza lakini kama upo mbali unaweza kutazama LIVE kwenye ukurasa wetu wa YouTube kwa link hii hapa 👇 youtube.com/live/QTweyZUIi… #instaprenyua2025…
Tutazidi kuwakumbuka mashujaa wetu
🎥Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika tarehe 25 Julai 2025, katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mtumba, jijini Dodoma. #SikuYaMashujaa2025 #DiraYaSamia #kazinaututunasongambele @SuluhuSamia @ikulumawasliano
🎥Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika tarehe 25 Julai 2025, katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mtumba, jijini Dodoma. #SikuYaMashujaa2025 #DiraYaSamia #kazinaututunasongambele @SuluhuSamia @ikulumawasliano
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei 27,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
#tc_weekend Karibuni😋 Tupo open kuanzia saa 4:30 asubuhi Unapata breakfast ya kiepe murua: Bei ✔Kavu 2000 ✔Chips yai 2500 ✔Kuku nusu 5000😊 ✔Mshkaki ng'ombe 500, wa kuku 1000 ✔Firigisi 1000 Special order✔ 🚲free delivery maeneo ya karibu Ubungo external Piga 0786478058
Sjapata Kuona Msanii Wa Gospel ana nyimbo nzuri kumpita Israel Mbonyi
Jobless Ndo Nimeingia Dodoma Kesho Marathon Nitakimbia Na iphone Za Watu Mzigo Jumatatu Utakuwepo Weka Oda Yako Sasa..!!😂😂😂
Wafanyakazi wote wako Dodoma, vibarua tumebaki Dar 😂😂maisha haya 🚶🏻♀️
Mradi wa Maji Kwamaizi ambao utanufaisha wananchi zaidi ya 6,000 wa kata ya Kideleko umekamilika #OktobaTunatikiSamia
Milan 1996 🇮🇹 MALDINI 3 On Back 🙌🏼 Sizes; S - XXL 🏷️ = 50,000 Call/WhatsApp; 0715 950 110 📍;Kariakoo (Congo/Narung'ombe, Handbags Tower,1st Floor)
MALDINI 3 50,000/= S - XXL 📞; 0715 950 110
Huku Dodoma network inasumbua kusema ukweli, ukiiona hapatikan kuwa muelewa tuu🥹hii baridi network hazikamati kabisa🌝 Thank you😉
Umekalili Sana Nyimbo Za Kwenye Live Bendi Sababu Unadate Na Wazee Wa Watu Na Mitoko Yao Ni Kwenye Bendi..😂😂😂
Ni mfumo unaoendesha maisha kwa viwango ambavyo huonekani kwa macho ya haraka — lakini vina nguvu ya kulinda uhai wa bara zima. The Great Migration si tu msafara — ni mchoro wa asili unaoendelea kuchorwa kila mwaka kwa rangi ya mvua, uhai na ujasiri.
wiki 2 hadi 3 tu — hali hii ya kuzaliana kwa pamoja huwapa nafasi ndama kupona zaidi licha ya uwepo wa maadui kama simba, fisi, chui, na mamba wanaofuatilia kwa karibu. Lakini nyumbu hawasafiri peke yao wanakuwa na pundamilia 250,000 na swala wa Thomson 300,000 wakitembea