misszider
@nyambizider
karibuni Royalty modern furniture ✨ Mjipatie wardrobes, office furniture,walk in closet, tv units, kitchen cabinets square meter 1 =550,000✨📩&📞0683652764
✨Royalty modern furniture ✨Tunatengeneza fanicha zote Kwa meter square ✨Mbao zake ni Mdf kutoka uturuki ✨Zinadumu Kwa muda mrefu ✨Bei zetu ni nafuu ✨Huduma zinatolewa na mikoani pia ✨Tunapatikana kawe-Dar es salaam ✨Whatsapp:wa.me/0683652764 📞&📩 0683652764

#TajiriLakihaya Unaambiwa jumamosi Usiku… CLUBS zote Dar Zilikuwa wazi… MALAYA wote walikua Dodoma aiseee💔 Kama manzi yako alienda dodoma Weekend hii na Haukua unafaham kazi yake ya pili… Nafkiri ukisoma hii Tweet kwa umakini- itakufumbua macho…
Nashukuru watu wengi sasa wanajifunza kozi ya sales na marketing. Zingatia: Jifunze kwa watu wanaofanya hiyo kazi. Nawapata wapi?. Vitabuni Vitabu gani?
Hakuna watu wanaopitia wakati mgumu sasaivi kama mashabiki wa utopolo 🐸🐸.
Lissu akifanikiwa kutoka Ukonga atalia sana kuona wananchi wataenda kupiga kura na yeye kama kiongozi wa NRNE imekufa kifo cha mende.
Utopolo Walitumia Kiki zao, Za kutumia watangazaji kusema kuwa Ohh!mchezaji flani Simba alikuwa anamtaka wakashindwa panda Dau tukamchukua 😂😂😂😂 Yani walikuwa wanatafuta ku trendisha usajili wao kwa kutumia timu ya Simba. Sasa subirini. Video kwa Comments 👇
Wewe uliyemaliza CHUO usikae nyumbani ukasema unasubiri Ajira... Njoo KARIAKOO anzisha Juice point bubu.....hukosi hela ndogondogo🙌
Maisha yamenifundisha kuwa si kila anayekuonyesha sura ya tabasam anakutakia mema. Wengine wanatabasamu huku wakisubiri uanguke ili washangilie kimya kimya.
"Unaumizwa sana maishani kwasababu umekosa hekima ya kuruhusu nani aingie na nani asiingie moyoni na nafsini mwako. Kila mtu umemruhusu azame ndani yako na leo huishi machozi. Jifunze kuweka mipaka" ~ ChrisMauki ~
watu mnaotumia whatsapp kwenye pc zenu (namaanisha whatsapp web) muwe mnakumbuka ku-logout baada ya matumizi ili kuepuka na kudukuliwa (data leak) kuna bots nyingi sana whatsapp siku hizi.
Hivi na huko vijiko kupotea katika mazingira ya kutatanisha inawatokeaga wakuu? NB:Usikute vijiko ni mizimu inayotembea
Iwapo tutamsajili Sesko, tutakua na Strikers wawili, Hojlund na Sesko. Atakaeumia au vita itakua kati ya Cunha na Zirkzee. Zirkzee namuona no 10 zaidi kuliko ST. Upande wa kulia, kuna mtu anaenda Kula sana bench kati ya Dalot, Mbeumo na Amad. Ngoja inyeshe tuone panapovuja.
💯 Football ⚽⤵️ BET SITE 🔶 PARIPESA Odds,, 4+ Code,,,, E3263 Huna account PARIPESA⤵️ 👇👇👇 Register & bet here⤵️ JISAJILI👉 paripesa.bet/nuh3 PROMO CODE 👉 Nuh3 Telegram⤵️ t.me/Nurdinih3 STAY WITH ME ✅✍️
FOOTBALL TIPS ⚽️⚽⚽ 🌷SAFE/BANKER ODDS 🖍DON'T MISS 🖍STAKE HIGH 🖍BOOM HIGH 💥Odds 350+++ 🌷Edit, flex.... KAMPUNI NI #DBbet Huna account? Jisajili (Register)👇 Link 👉 url-shortener.me/2EMO 🌺Promocode Andika: MZUNGU 🌷Booking Code 👉 KM663
2006 Mimi na wife tulifanikiwa kumpata kijana wangu wa kwanza aitwaye Eliudi. Soon anamaliza ufundi stadi veta.
Naomba Repost 🙏 Royalty modern furniture ni watengenezaji furniture zote Kwa meter square 🪑Mbao zake ni Mdf kutoka uturuki 💰Bei zetu ni nafuu 📍Tunapatikana Mbezi-Jogoo 🛻Huduma zinatolewa na mikoani pia 📞Call : 0683652764 📲Whatsapp:wa.me/+255683652764
Fungua Adobe Photoshop anza kujifunza taratibu... Kesho utakuwa bora kwenye editing kuliko jana. Fungua kitabu soma saa 1 kila siku... Utajenga tabia ya kujifunza vitu vipya na kujiongezea maarifa. Usiseme utaanza kesho kujifunza ujuzi unaotamani kuwa nao... Anza Leo.
"Ukiangalia tu tetesi ambazo zinatoka tayari Simba ameshakuwa bingwa msimu wa 2025/26 , kama tetesi zitakuwa na ukweli wa 30% tu Bingwa msimu ujao ni Simba SC" Ahmed ALLY,Afisa Habari wa Klabu ya Simba
Nondo hizi. Matokeo mengi ya sasa yamechangiwa na feminist ambao hata Muumba ajataka tufanye hivo. Unakuta wakiume anaongea mambo ya sapampa sijui
Sikujua kama Rose Lee ni mzima kichwani kiasi hiki.🙌