wakunyumba
@jwakunyumba
Mpenda #Haki kama hupendi haki si wa upande wangu.
Tena Pedi za jadi za mitambaa ...
JAJI FRANCIS MTUNGI PEDI YA SAMIA. Bila shaka leo umesikiliza press ya POLEPOLE ambayo ilijikita kwenye uvunjifu wa katiba ya CHAMA CHA MAPINDUZI kwenye upatikanaji wa mgombea uraisi. Polepole ni mtu wa pili kuhoji na kulalamika hadharani baada ya ndugu MALISA wa kilimanjaro…
Dear World #TellSamia @SuluhuSamia to #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #FreeMwabili #FreeMwabiliMwagodi #Tanzania
Ishu ni moja tu #NoReformsNoElection Huu upuuzi wenu wa data mlizoandikisha wototo wa shule na marehemu safari hii mtaelewa kuwa nchi ni ya wananchi..

Impunity at its peak! #Tanzania is lawless because @SuluhuSamia has decided that she doesn’t have to respect any law or constitution not even International conventions! She is running a killer squad, that abducts, torture and disappear dissidents and opposition and she has no…
Leo ni siku ya tano tangu Mbeshi Paul achukuliwe na watu waliojitambulisha kuwa ni Askari hadi leo haijulikani kapelekwa wapi. Ndugu zake wamezunguka Vituo vyote vya Polisi bila mafanikio. Mbeshi ni Mwenyekiti wa BAVICHA jimbo la Geita Vijijini.
Jinii kilemba halikunywi damu likatosheka ... Limetuachia mtaani vilio kila kona.. Anayefuga hilo jini yuko msoga katuliza pumbu kwakuwa watoto wake wapo salama...
Kwamba Mdude alikua Hatari sana kwa TAIFA, kuliko wale WAHUNI wanao Liingizia TAIFA HILI hasara..!? Kiukweli huyu Jamaa hua ananiumiza Sana kwenye Moyo Wangu..! Mbaya Zaidi Tumeisha Msahau..! Kama @mdudenyagali alikua na Kosa Vyombo vya usalama vipo alitakiwa kufikishwa Huko..
CHADEMA inaweza isiwe imara sana, lakini kwa udhaifu wa CCM unaifanya CHADEMA ionekane ni imara na iko tayari kuongoza nchi.
Tuwe wakweli tu. Kuna Chama kikubwa nchi hii kama CHADEMA? Jamaa hawana ruzuku,hawana pesa za kugawa,kiongozi wao wakuu wamekuwa wakipewa kesi kubwa na kukaa jela,uhuru wa wao kufanya siasa ni matatani lkn bado ni wa moto Sana. Je wangekuwa na vyote kipi kingesimama?
Hili bango linatakiwa kufika kila kona ya NCHI. Naomba REPOST 500. #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Jini Kilemba nikataka na damu ya huyu mzee ...
Imethibitika kwamba Mwenyekiti wa Baraza la Wazee jimbo la BABATI VIJIJINI Mhe. Francis Luumi anashikiliwa Central Polisi DSM Sababu za kushikiliwa kwake hazijulikani, Mawakili wa Chama wanafuatilia kujua hatma ya Mzee wetu. Ikumbukwe ameshikiliwa zaidi ya siku mbili bila ndugu…
Mwanasiasa Malaya Malaya tu hivi ...!
DODOMA: Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), #FreemanMbowe akijibu swali aliloulizwa na Mwandishi wa Habari kuhusu msimamo wa “No Reforms No Election” amesema yeye sio mzungumzaji wa chama na kupendekeza waulizwe viongozi Amesema hayo mara baada ya…
Mtungi ni moja kati ya wazee wapumbavu na hasara kwa Tanganyika ...
Jaji Mutungi, kaa chini uongee na nafsi yako. WanaCCM tumelalamika sana Samia kucheza rafu kwenye kuchukua fomu. Leo Polepole kagonga msumari. Una nini cha kusema? Shame on you. Utakufa kama mbwa. Ya Chadema kila siku unapaza shingo. Usifanye ofisi ya umma kuwa chaka la wahuni
‼️ANOTHER BATTLE FRONT - ONE TOO MANY FOR SULUHU‼️ @SuluhuSamia is now looking panicked and disorganized - her recent victim Humphrey Polepole just learned how vicious her cabal is after “unknown armed men” abducted his sister from her home in the middle of the night, hours…
Idiotic plans indeed ...! Winga mpate, winga stivu nyenyenye ..! Yaani ni maupuuzi tu na hivi wamepigwa upofu wanajiona wajanja wenyewe kumbe nyeti ziko nje ..!
📌 Usipite bila kusoma and bookmark this! 🚨🚨‼️MIPANGO YA MADHULMAT YAVUJA🚨🚨‼️ Watoa taarifa wameniletea yafuatayo na huku nikiendelea kuthibtisha naweka matukio wanayosema yamepangwa 👉🏽 Mwamba kuhama si ishu sasa ishu ni tarehe - imepangwa tarehe 3 Agosti na itakuwa siku wa…
Wacha watu wale somo la sheria kwanza, na upepo upulize nyeti za mahakama zionekane then tukirudi mtaani for another phase ya #NoReformsNoElection watajua kuwa hawajui .. Hatuwezi tukawa wapumbavu nchi nzima..
"The darker the night, the brighter the stars, The deeper the grief, the closer is God."
Mashahidi wanaotaka kufichwa kwenye kesi ya Lissu wametishiwa vipi wakati hatuwajui? Tunajuaje ni kweli? Na sijawahi kuona wanaCHADEMA wakitishia usalama wa mtu hata Mafwele! Mi ninachojua wapenda haki wote tunataka madhulmat yashughulikiwe kisheria! @judiciarytz huu ni ujinga!…
Hii fala imeenda kuhubiri hofu kwa wananchi .. YESU angekuwa anaogopa majeraha na kifo tungekombolewa .? @ElionaKimaro kawaambie walio kutuma kuwa jambo ni moja tu #NoReformsNoElection
ARUSHA: Akizungumza kwenye kongamano la Vijana lililofanyika Viwanja vya Kanisa Kuu la KKKT USA River, Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kijitonyama, Eliona Kimaro ametoa angalizo kwa Vijana kuhakikisha wanajiepusha na vitendo vitakayosababisha kupata ulemavu wa mwili au kufunguliwa…
Mwalasusu ni Mwinjaku mzee ...
KKT wanatukosea sana kuwapa mic wanasiasa kanisani.