ππ©π¨π₯π₯π¨
@Apollo_Boniface
HOSOME Chadema | Bavicha Head of Information and Communication Depertment 2018 - 2024
π¨ BREAKING: EU Parliament SLAMS Cyprus FM @ckombos for SILENCE on Tundu Lissuβs treason case during Tanzania visit! π‘ Demands #FreeTunduLissu & electoral reforms before $8M election aid. πΉπΏπ³οΈ EU shocked by Kombosβ inactionβfull report urged! #TanzaniaElectionsβ¦
π¨ BREAKING: EU Parliament SLAMS Cyprus FM @ckombos for SILENCE on Tundu Lissuβs treason case during Tanzania visit! π‘ Demands #FreeTunduLissu & electoral reforms before $8M election aid. πΉπΏπ³οΈ EU shocked by Kombosβ inactionβfull report urged! #TanzaniaElectionsβ¦
If you live in the West, you are likely funding the Tanzanian government's campaign to the repress its political opposition. This must end.
Dunia inayaona tunayofanyiwa kama Chadema kwa sasa.

"@TunduALissu anyongwe, watanzania tupo milioni 63, akitoka mmoja kuna hasara gani." Kijana wa CCM Huku ndipo tulipofika kama Taifa.
Kulaani kushikiliwa kwa Mwenyeliti Taifa wa @NgomeyaWanawake Bi. Janeth Rithe

Tofauti ya Nyomi la Chadema na CCM. Wananchi wanao. #NoReformsNoElection
#NoReformsNoElection
βTaarifa hii iwafikie ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF na Wadhamini wa mashindano ya Kombe la Shirikisho la CRDB, kuwa HATUTACHEZA mchezo wa Fainali wa CRDB siku ya tarehe 28, mpaka tutakapolipwa hela yetu ya Ubingwa kwa msimu uliopita. Tumevumilia dharau hizi kutoka kwa Mamlaka zaβ¦
Mahakama (@judiciarytz) imeondoa video zote za mwenendo wa kesi ya Uhaini na Uchochezi iliyokuwa inamkabilia Mhe. @TunduALissu katika ukurasa wake wa Youtube. Mna hofu nini watu kurejelea mwenendo wa kesi?.

Muasisi wa CHAUMA ajiondoka katika Chama hicho.

Mwenyeliti wa Chadema Taifa Mhe. @TunduALissu akiwa gerezani amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa @idualliance.

#NoReformsNoElection ya Mhe. @TunduALissu askari magereza aogopa π.

Sekretarieti ya zamani ya Chama ndiyo iliyohusika katika kuipika na kuiandaa agenda ya #NoReformsNoElection wakaipeleka Kamati Kuu, ikapitishwa na kupelekwa Baraza Kuu, ikapitishwa na kisha kupelekwa Mkutano Mkuu na ikapitishwa kuwa agenda ya Chama na uongozi wa sasa wameipokeaβ¦
Bawacha Mkoa wa Ilala ipo imara sana na itaendelea kuwa imara, hatuwezi kuyumbishwa kwa kukimbia mapambano kwa mtu mmoja kwani Bawacha ninayoiongoza ina jeshi kubwa la hazina ya wanawake wenye uwezo wa kubeba majukumu ya kiutendaji. Bawacha Mkoa wa Ilala tunaendelea kusimamiaβ¦