Dr Lwaitama
@lwaitama1
Tanzanian by name Dr Hezron Lwaitama dr of facial plastic and reconstructive surgery at the Johns Hopkins University School of Medicine Phone :+1(301)366-9612
Consider this
Twin argument from those who have advocated for #Kiswahili as a Mediuam/Language of Instruction(#LOI),such as Martha Qorro,@MabalaMakengeza,@rakeshrajani @jeneralionline+@lwaitama1: 1. Teach English properly as a language/subject. 2. No language proficiency,no content/substance.
Wakina Mpina, Gwajima, Heche wanazidi kuongezeka Nimesikia furaha isiyo na kifani Sisi kama Wananchi tunatambua uwepo wanu Nchini mh Polepole njooo hiyo nafasi ilikuwa ya kuzima ndoto zako na sio uwakilishi nje ya Nchi upewe mauwa yako kwa mamzi mazuri 💯💯📌📌


Kamanda @fbuyobe anaweza kuwa ananyoa kila siku hapa hata Kama nywele hazijaota! Kisa nini Unajua ?? Angali comments
Manufaa ya watu wachache... Mtoto kapewa uwaziri mnategemea Nini..sisi tumebaki kusifu na kuabudu tu mitandaoni..
SUMMARY YA PRESS YA POLEPOLE Na @AbroadTanzania ✍🏻 1.Pole pole amemkataa Mgombea wa CCM Ataja kikwete kuvuruga mchakato, asema Utaratibu ulivunjwa, ataka wagombea wawe wengi siyo mmoja 2. Asema SERIKALI ya Samia ni Kama Nyumba ambayo haina mwenyewe hakuna mwenye kauli ya…
"The darker the night, the brighter the stars, The deeper the grief, the closer is God."

All of what people said might be true, but, what is also true is, she hasn’t kept the same energy [as far as criticizing the current occupant of the state house is concerned] and it is palpable!
Fatma ni project ya mfumo ndio maana sio rahisi kueleweka,Madeleka. Zzk. Mbowe wote ni project kama alivyokuwa Odinga kenya. Baada ya Marehemu Lundenga kufariki na baadhi ya waombolezaji na waliojitoa ilijulikana kama marehemu alikuwa kipenyo bin kipepeo project ya mfumo
Any woman is misled in advices by her friends about her relationship,because they don't know the good things about her husband,but are used to hearing only the bad things about him ,because that's what his wife has chosen to tell them all the time.
Kanisa la Mwamposa likageuka jukwaa la mipango ya hukumu za kifo
However DPP’s independence is prescribed under Article 59(b)(iv) of the constittution of The united Republic of 🇹🇿 of 1977 but foresure its a bogus case which the regime cooked over @TunduALissu and they dont have evidance @CCMTanzania and their fellows should withdraw it.
UTAPELI UMEANZA MBEYA
Fatuma Dini,asili kwa kuzaliwa na jinsi yake lazima wawe bega kwa bega kudemka na "mbarikiwa kutoka kwa Mwamposa"! NB:Uzee upo puani na haoni mbele atashika jani au shela.
Ngogwe wameamua waungane na UBWAWA ili mlaji CCM asikabwe mboga ipo
Unaenda kwenye sherehe ya Dini ya wengine halafu unahamasisha mauaji ya binadamu mwenzio hata kama huyo binadamu si wa dini yako basi unapaswa kuheshimu ubinadamu wake.
Hawa vijana wanaojishughulisha sana namna hii watafika mbali sana ! Mungu awasimamie sana
Imenibidi nije niwafungie order zenu Njoo dukani kabla sijaondoka Kama upo mkoani lipia natuma kwa bus😒😒
Huyu kagundua mapema kuwa mwaka huu hakutakuwa na uchaguzi kama reforms hazitafanyika. Lakini pia anafahamu kuwa endapo reforms zitafanyika CHADEMA inachukuwa nchi. Mungu ibariki chadema!
