GreaterThinker💎
@HopeQuotes__
My Official account 👉🏻 Joined 2010;(HopeQuotes__) the voice of the helpless, you can be a patriot without standing by your president, I hate dictatorship.
Nchi Ambayo eti @BabuTale nae ni Mbunge unategemea Mawazo Gani Mapya Kutoka Kwake...!? WanaNchi Tuungane Kudai Reforms kwenye Hizi Chaguzi ili Tupate Viongozi Wenye Waledi, Tuepukane na Viongozi aina ya BabuTale. 🗣Moja kati ya Wabunge Wa Hovyo TANZANIA
Luaga Mpina alitujuza Muda sanaaa Kuhusu Msomali Kutafuna Fedha za Walipa Kodi akapuuzwa...!!! PICHANI ni ndege ya kilimo ya Thrush 510P2+ Wizara ya Kilimo ilinunua Ndege hyo kwa Tsh. Billioni 6...!! Toleo jipya la Ndege hii Mwaka 2025 Thrush Rockwell S2R ni Dola LakiTano.....


MaCCM yamepora Madalaka kwa Wajumbe Wa MKOA, WILAYA, JIMBO, KATA ni Rasimi Sasa Madalaka yoote yapo Harimashauri Kuu. Mbaya zaidi Wanazidi Kujiongezea Nguvu huku Harimashauri Kuu, Maslah Binafs Chama Kimeisha Filisika kimawazo sasa Kinaongozwa na Fikra za Mtu Mmoja. BataWahed🚮
𝗞𝗪𝗔 𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗠𝗜𝗔 99.8 𝗪𝗔𝗝𝗨𝗠𝗕𝗘 𝗪𝗔𝗠𝗘𝗥𝗜𝗗𝗛𝗜𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗘𝗞𝗘𝗕𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗗𝗢𝗚𝗢 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗖𝗖𝗠
Rais Samia yeye Mwenyewe aliwahi kutwambia kua Alifeli Kidato Cha Nne, na Alienda mbali zaid akasema yeye Ndoto yake kubwa ilikua ni kua MUHUDUMU wa NDEGE Sasa Mtu Kama Huyo Kwanin Wasimkaange kwenye Manunuzi Na siku anateuliwa Kua Mgombea Mwenza aliwauliza Mnauhakika nitaweza?

Hubu, tuwe na UTU halafu tujiweke kwenye nafasi ya CHADEMA, angalia jinsi wanavyotendewa..!! Angalia Serikali inavyo Wachukulia yani kama WAHAINI Wa Nchi... Kila Mtu anayo Haki ya Kuishi kwa Amani Nchi Hii, tuweke Tofauti za Vyama Pembeni, Serikali ya Awamu ya 6 ni Katili Sanaa
Ndugu Zangu Hivi Kuna Kitu Mmekinote Kuanzia Majuzi Jana na Leo, Kuna Account Mpya Nyiingi sanaa Zimefunguliwa na Zinashambulia Sanaa Kwa Matusi... na Account hizi Mpya ni Muunganiko wa ActWazalendo na CCM.. Ninacho Kiandika nina Uhakika nacho kwa 100% Pitia Post Zangu Utaona..
Na Haya ndio Matamanio ya Wengi, Mtu ashindwe kwa Haki, Wala Kusiwepo na Kubebana wala Majimbo ya Mbeleko... Vyama Viuze Sera Zao, iwe ni Vita ya Majukwaa Kwa Majukwaa, @tanpol wakae Pembeni... Uchaguzi uwe wa Haki na Huru.. Hapo hakuna Lawama Tenaaa
unajua nilijua ni Edit, Kumbe ni kweli na nimejaribu Kuingia kwenye Website yao nimekuta ni hivyo-Hivyo "TUME YA UCHAFUIZI" 😁😁😁 au Ndio Kiswahili Fasaha!? @TumeUchaguziTZ Hata Kwenye Hiyo ParaGraphy Mstari wa Kwanza tu ndio hivyo 😁😁


SENSA ya Mwaka 2022 inaonyesha idadi ya Watu wenye Umri Kati ya 0-14 ni Milioni ishirini na Sita Laki Tatu Tisini na Tisa na Miatisa Themanini na Nane, ambayo ni sawa na Asilimia 42.8 Kutoka 2022 Mpaka 2025 Mtoto mwenye Umri wa Miaka 14 kwa Mwaka 2025 ana Miaka 17. #WamepikaDATA
Kutokana na Rais aliyepo Madarakan Kuto Kukubalika na Umma kwa 90% Tume wameamua Kupika Data za Uandikishaji kwenye Daftari la Mpiga Kura Kuna Dalili Kubwa sanaa ya Upikaji Matokeo Oct29, ya Kuambiwa kua Samia Kashinda kwa 90% ni Wazi CCM wameamua Kua KENGE wamewapuuza WanaNchi

Hizi ni KAOLE Sanaa, za Serikali ya CCM na Tume ya Raisi..... Majamaa yanataka yaonekane kwamba ni Maadilifu Sanaa na yapo Makini ndio Maana wamekuja na Sanaa ya Kukabidhi haya Majina.. Mmeisha Pika Data idadi ya waliojiandikisha inatosha kutoaminiwa Kabisaa.. 🚮 #TumeYaRAISI

Prof. Paramagamba Kabudi ni Msomi alieamua Kua CHAWA kwa Mtawala, Huyu Mzee anaelimu Nzuri Kabisaa ni Nguli wa Sheria, Huyu alitakiwa Kua Hazina ya TAIFA hili Kutusaidia Kuchambua Mikataba Mbali-Mbali... ila Kwamakusudi ameamua Kua CHAWA na Akili kaweka TUMBONI inaumiza Sanaa..!

Kwamba "INEC" mnataka Kutwambia Mwaka Huu 2024 ndio Muamko Umekua Mkubwa Sanaaa kwa Watu Kwenda Kujiandikisha.!? Kuliko Miaka Yooote.! Kwamba Kwa Mwaka Huu Ambao MaCCM yamekipaka Rangi Mpya chama cha UBWABWA, ndio WanaNchi wamekua na Mzuka wa Kujiandikisha!! Takwimu za UONGO 🚮
Albert Msando Hawezi Kua na HOFU ya MUNGU.... kama Mtu aliweza Kujirekodi akimtia VIDOLE Mrimbwende GiggyMoney unategemea Mtu huyo awe na Huruma na Hofu kwa Waumini wa @jgwajima ... Mtu aliefanya Vitendo Vichafu na Bado Mamlaka Zikamteua unategemea Jema Gani Kutoka Kwake..!?


Yani iko Hivi Baada ya Halimashauri Kuu (CCM) Kujiongezea Nguvu Zaidi, sasa Mwenyekiti anaweza Kuchagua Hata MACHAWA Wale Wanao Muunga MKONO.. Hata Kama Wajumbe wa MKOA, WILAYA, JIMBO, KATA, mtakua Mmemkataa Huyo CHAWA coz kwa Sasa hamna Power. Hili ni Pigo Jingine kwa WanaCCM.
Kuna, LiCCM limoja lilisema hivi Hawa WAJUMBE ni Wanafiki Sanaaa wakiwa Kwenye MKUTANO Wanakua Wapoleee Sanaa ila wakitoka kwenye MKUTANO wanakua na Malalamiko. Huko Kwenye Korido Wanamsema Sanaa Mwenyekit, laiti kama hizi hasira za Koridoni wangezihamishia Mkutanoni ingekua Poa
"Sisi tuna Intelejensia Kalii Sanaa Kubaini Vitendo vyovyote ambavyo vina Viashiria vya Uvunjifu wa Amani" :~ PoliCCM

Kuna Vitu Vingine Vinachekesha Sanaa, ndani ya CCM... Kwamba Marekebisho ni Kuongeza idadi ya WAJUMBE, Wanaotuongoza nikama Vile Wamekatwa VICHWA... 🚮 #NoReformsNoElections

Stephen Mwakajumilo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya. Huko Kwenye Magroup yao ya Whatsapp kauliza Swali la Msingi Sanaa. Chama Chake cha CCM kinaenda Kushiriki Uchaguzi, Je Kinashindana na nani!? Kwamba Watumie Nguvu Kuubwa Kushindina na Chauma+Act? anasema WanaNchi Wasipuuzwe.
Mbaya Zaidi Mwenyekiti Wao akipewa USHAURI ana-Nuna!!... "Rais asiekubalika Kila KONA"
Shamsa Mohamed ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa Wa Simiyu Kwenye Magroup ya Whatsapp wanasema Bila Woga kwamba Chama Kimekosea Wakubali Ushauri, Shamsa anasema Ndani ya CCM kunaitajika #Reforms Kubwa Sanaa Mwisho anasema WanaNchi wasipuuzwe Wasikilizwe #NoReformsNoElection itekelezwe