KOLIMBA π¨π΅
@Therel_Kolimba
A young man raised by neighborhood
You were not born to blend in β you were made to stand out π. Keep pushing through every challenge πͺ. Better days are ahead, stay focused and never give up π₯π.

Inatakiwa iwepo na kikomo cha uongozi Kwa madiwani wabunge na mawaziri kama ilivyo Kwa rais. Iwe Miaka 10 na wasigombee Tena ili na wengine wapate nafasi ya kuongoza bwana mtu anakuwa serikalini Miaka 30 Hadi 40. Asa wengine wanasoma ili iweje asa
Mwanamke mwenye matako makubwa anajiamini kuliko Bakhresa na pesa zake...βοΈ
Nimesinzia kidogo tu,nimeota mashabiki wa Chelsea Tanzania tunafanyia Party yetu kwenye #AirBus A380
Siku ukivaa hovyo hovyo ndiyo unakutana na classmates wako, mpaka unatamani uwaeleze kwamba jamani msinione hivi huwa napendeza sana tu πππππΎ
It's so humbling getting a glimpse of what God protected you from, HAPPY BIRTHDAY TO MEππ₯ππ
Muda Huu kuna Mtu Anaambiwa Teremka na Hiyo Njia Nishakuona.
Kuna mtu sahivi huko anampigia mpenzi wake simu na hapatikani π atakuja kumpata kesho jioni ataombwa msamaha na yeye atakubali
Muda Huu kuna Mtu Amejikoki Amependeza Anajiandaa kwenda Kupewa KASWENDE na UKIMWI juu.π€£
USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE USINYWE POMBE
Huyu manzi anamsupport sana mshikaji wake kwenye harakati zake hasubiri kuletewa nyumbani wanawake wa hivi wamebaki wachache sana π π π
Simu yako Umeiwekea Protector ila Wewe Kutumia Kinga Unaona Ushamba. Maamuzi ni Yako Mkuu.π
Mambo 5 Ya Kuepuka Ili Uwe Na Amani: 1. Fitina na umbea. 2. Kulaumu kila wakati. 3. Kutoridhika na kidogo. 4. Kuishi maisha ya "kuonekana". 5. Kuingilia maisha ya watu.
Si mnaona mwanetuu anakula bata now na babies kama zote hawazi wala nn kama alikua flopper last season π
Unaheshimiana na mtu vizuri kumbe zamani alikuaga akinya anajipangusa kwenye kona ya choo
Kuna uhusiano gani wa kuwekewa kiatu alichovaa puani mtu mwenye kifafa?? huwa inasaidia nini?? Kuna kaka kazi zake ni za umeme ana tatizo hilo maskini , nimewaza mengiiπ ,ukiwa mzima bila changamoto yoyote mshukuru sana Mungu