RahimKhali
@Raim_kan
A public servant that stands for a country free of exploitation (parity & equality) against the odds.
⚠️Yes @DEUSDEDITHSOKA &co were abducted&disappeared by @SuluhuSamia @tanpol ⚠️#Kibao was abducted & killed by @SuluhuSamia @tanpol👉🏻60 days layer,no report on incidents despite @judiciarytz & @SuluhuSamia ORDERS” ⚠️When people query,are too arrested and sentenced. Thread👇🏻
Potato, Potatoe 🙄 This is Christian persecution by @SuluhuSamia - how can government forbid anyone from worshipping their God just because you have an issue with what their leader said (condemn abduction) This is persecution - full stop!
WATU WAMEKAMATWA NA KUPIGWA VIBAYA SANA *TAARIFA KWA UMMA* SERIKALI YA CCM YATUMIA POLISI KUVAMIA MAKAZI YA MHE. MBUNGE AIDA JOSEPH KENANI NA KUWAPIGA NA KUWAUMIZA VIBAYA VIONGOZI NA WANACHAMA ANAANDIKA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA RUKWA *ALFREDY SOTOKA* Mapema Mchana wa…
Nimejumuika na wanachama wenzangu wa Chadema Kata ya Gongolamboto na Jimbo la Ukonga katika Dua ya kukiombea Chama chetu na pia kumuombea Mwenyekiti wa Chama chetu Taifa, Tundu Lissu. Baada ya Dua tumekutana hapa kijiwe maarufu cha UKAWA SQUARE kujadili mambo yahusuyo taifa letu.
Sasa nimeligundua hili; Kutoka kwa taarifa alizopenyezewa dada @mangekimambi ni kwamba mama yenu alipata fununu kuwa wengi wa waliopitishwa kwenye yale majina matatu kutoka huko majimboni kwenye nafasi ya ubunge ni watu wa nchimbi, na kuna fununu pia kua nchimbi anautaka urais…
For those who order, carry out and cheer on abductions #EnforcedDisappearances 👇🏾 Romans 1:18 “The wrath of God is being revealed from heaven against all the godlessness and wickedness of people, who suppress the truth by their wickedness,” Warumi 1:18 “Ghadhabu ya Mungu…
DC ameshindwa kazi!Usalama Ubungo hoi -ICU, yupo busy kukimbizana na waumini! Ktk Mtaa wa Mpiji Magohe kila usiku wanavamiwa na watu wenye bunduki na kuwaibia, @tanpol hawapati msaada! AIBU!Sasa watu wanachangisha kujilinda @WizaraMNN SuluhuSamia mpo na mnataka 5 tena, serious?
🚨DICTATORSHIP ALERT🚨 Kenyan activist Mwabili Mwagodi has been abducted in Dar es Salaam by Samia’s regime. We DEMAND his immediate release! 🇰🇪🇹🇿 To our Kenyan brothers & sisters: we won’t rest until Mwabili is free. His voice will not be silenced! CC: @bonifacemwangi…
Mwabili Mwagodi’s safety and security is the SOLE RESPONSBILITY of the government of @SuluhuSamia as he is legally working and residing in Tanzania He was abducted in Dar es Salaam in typical #EnforcedDisappearance Modus operandi meaning this is STATE SANCTIONED! This is a…
Soma hizo takwimu alafu linganisha na takwimu za tume za millioni 37.6 uchaguzi umeishaporwa kabla hata ya siku ya kupiga kura. Hii tume ya mama imepanga kumpa kura ambazo hazijawahi kuwepo. Uongo, uhuni Watanzania tusiruhusu uhuni huu kutokea baadae tunalalamika.…
Hata uhangaike vipi na vikaragosi vyako @SuluhuSamia huwezi kuzima nyota yake @TunduALissu Hatma yake na njia aliyopangiwa na Mwenyezi Mungu ni ngumu ila USHINDI ni mkubwa #FreeTunduLissu #FreeTunduLissuNow T U N D U L I S S U 🔥 7th President of UR Tanzania 🇹🇿
We will occupy Tanzania’s embassy if @SuluhuSamia doesn't tell us where Mwabili is #FreeMwabiliMwagodi
MANABII ZAIDI YA 10 WAMEMTABILIA SAMIA MATUKIO MABAYA NA KUMUONYA... youtu.be/RTjSHa7qiNg?si… Mwambieni @SuluhuSamia unabii umetoka Kenya, South Africa si Tanzania tu! Sasa kama anafikiri waganga watamsaidia shauri zake 🙏🏽
Kila ninapo jaribu kuona kuwa kila kitu ni kawaida inakuja picha ya Ndugu zangu hawa...Hawa ni Kaka,Baba,Watoto na Watanzania wenzetu . Kosa lao kubwa nikueleza hisia zao katika kile wanacho kiamini.HUU NI UHAI .MWENYE RIDHAA YA KUTOA UHAI NI MUNGU TUU. Tuitishe na kudai…
You are working overtime @TumeUchaguziTZ 😁😁 Ila hakuna anayewaamini tunajua mmeandikisha hadi watoto wa shule na hamjatoa waliofariki Fungueni database tuhakiki! Nje ya hapo ni uongo tu! Zero legitimacy 🚮 #NoReformsNoElection
#FreeMwabiliMwagodi until all of us are safe, we will not chances by NOT posting. No one is safe until all of us are safe.