Leonard Kihade
@Mwakihade
Love is My Religion ♥️
Kwa huduma Bora Za Rangi Za Magari karibuni Iringa Sports Car Workshop tupo mkabala na Tanesco Iringa Store....Uncle..@Adventure_36 karibu sana




Hakikisha hueleweki!! Chuma-113 Front bumper- XT Taa-NTG Side mirrors-NTG Plate number-ELU(mpya piruuu!!)
Sema hizi Dragon zikifika, asee watu wa Bonyokwa tutafaidika sana.
Jamani nawasogezea hii kutoka kwa Anko wangu @Mwakihade anapatikana Iringa Mjini pale
Kutafuta ni Jukumu Lako Kupata Tumuachie Mungu.....Napatikana Iringa Kwa 0710191920
Kama kuna uwezekano tunaomba LATRA watoe kibali cha daladala chache kwa muda mfupi kutoka Kimara kwenda Kivukoni/Gerezani wakati muda huu wanasubir ujio wa mwendokasi mpyaa. Aisee pale kimara ni mtiti hasa asubuhi ile mwendokasi imezidiwa kabisa. Ni noma
Hatunaga #Showmbovu Picha za Party tunatundika pale mtaa wa #Timessquare katikati ya #NewYorkCiriiii tulipobebea kombe huko #Marekani Sisi ndo #ChelseaTanzaniaFans👊🏻💙 👉Maulizo kuhusu party namba kwenye #Poster pia tutatangaza space kwa maelezo zaid.
Kutafuta ni Jukumu Lako Kupata Tumuachie Mungu.....Napatikana Iringa Kwa 0710191920




Sio tu kunywa na kumoka urafiki kupeana dili, namna gani nizalishe 50 iwe 200. ~ Langa Kileo
Medical and mental expert in the house, how bad is this tree to human health?
Maeneo ya Mbwewe apo, Hii barabara imeshakuwa na msongamano mkubwa sana wa magari, hawa watu wa bajaji, Bodaboda, guta wasipokuwa makini wataishaa sana.
Alsaedy High Class. #Yutong_D14 za Wahehe @PorcarlP
Brother @chapo255 kama una nafasi msikilize Kontawa yupo XXL Clouds fm, Atajibu hoja yako ile 😁
Oya washkaji kwenye utafutaji ukitaka kutimiza malengo yako, kamwe usijaribu kumfurahisha kila mtu kumbuka unacho kiona wewe wao hawakioni, Kwenye safari ya maisha yako wewe ndiye mchoraji wa safari na msafiri mkuu kuelekea mafaniko yako. Narudia kamwe usimfurahishe yeyote yule•
D14 zipo 42 Tu Hakuna Mkurugenzi mwenye D14 nyingi kwa sasa Bongo kama Shabiby Huyu ndio Raisi wa D14 kwa sasa zipo Kama Zabibu pale Dodoma
Huyu dada yupo stend ya Mabasi Njombe apo mkipita apo msiache kumsapoti
Masikini hana kazi za ndoto zake tuamkeni tukapambane jamani.
Tunaanzaga sie wengine #Wanaiga🤣 #Mtatuona New York huko💙💙💙 Tutaanda Space kwa taarifa zaid,Usisahau kuwa karibu na @ChelseaTzFans follow @ChelseaTzFans 👉9/8 #Repost hata kama wewe sio Chelsea🤣chapa #Repost kishingo Upande
Hey @grok unaweza kunipa Thamani ya Account yangu incase nikitaka kuiuza nijue nalipwa Pesa kiasi gani.?
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei 27,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Daktari anasema wamama, ndugu au majirani msifue nguo za mama ambaye ametoka kujifungua bila kuvaa gloves, Anasema wengi wanapata maambukizi ya virus vya Ukimwi kwasababu hii bila wenyewe kujua.