PABLO
@PabloYende
M.S.A.B.A.T.O PROUD SDA (Whatsapp 0763798491) #TUSIAMINIANEHUMU
Humu Umewahi Kufanya Biashara na Mfanyabiashara Gani? na Hamjuani Ila kila Kitu kikawa Poa Wewe Ukalipa kwa wakati na yeye akatuma mzigo kwa wakati Mtag watu wamuungishe 📌
Hello, mmeamkaje wapendwa SAHANI ZETU ZA LUMINARC HAZIBOI, UKIPAKULIA CHAKULA🙌 6PCS TSH 25,000 0755693113 📍 UBUNGO EXTERNAL @MiriamMkanaka @Sativa255 @Thereal_taivina
HIZI NI KUBWA ZAKE..ANGALIA PINDO LA SUFURIA, NI NZITO MNO 📌 KUBWA INABEBA 4KG TSH 45,000 0755 693113 📍 UBUNGO EXTERNAL Kindly retweet 🙏
Wasio na maisha kama mimi July Photo Dump.!!
Wasio na maisha kama mimi July Photo Dump.!!
Kwa upande wako Mkuu, ni nani MFALME WA RHYMES kwa sasa??? Me: DIZASTA VINA 📌 Wewe jee👇🏽
🍱😋🙌🏾 Mawasiliano 0629076937📞 whatsapp 0718893552 Delivery popote Dar es salaam 📍kigamboni
Muda wa Kuanza Kuombwa Msamaha na Bebi wako aliekua Dodoma kwenye Marathon

@PabloYende @kirigitim @truck_tz @TBoundBuses @TBoundBuses huyu tumfanyaje sasa aliwe au
Hayaaa Tumewaleteaaa Marcopolo G7 Again @GODFIRSTLUXURY BUS DAR MWANZA DAILY ✅✅✅🇸🇽🇸🇽🇸🇽🇸🇽🇸🇽
Watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha mbeya ajali ya daladala na lorry, @PabloYende @BusesNation kunani mbeyaa
humtaki feisal
Wasijaribu kufanya huu ujinga hii timu tutafukuza viongozi wote timu tumpe Bihemo
National Team ina Wazanzibar 6 hapa ndani Shekhan, Feisal, Mudathir, Baka, Ayoub, Hilika
Ngoma za Kizungu zilizopigwa mpaka Sasa ni 5 Tu Madj wakibongo Miyeyusho Sana I'm a Boss (feat. Rick Ross) by Meek Mill All the Above (feat. T-Pain) by Maino Young Forever (feat. Mr Hudson) by JAY-Z Ruff Ryders' Anthem by DMX Not Like Us Kendrick Lamar