Mthesalonike wa KIANDA📌
@KiandaWa14
A writer, Analyst of different literary Works and Inspirational speaker📚Mkulima wa Sumbawanga and professional Jobless📌 ManCity//YANGA⚽ fan✊
Wakuu huwa mnatumia njia gani kumfukuza demu akigoma kuondoka Getho?💔🥲🙌
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei jezi ya sasa 27,000/= 👉Bei jezi za zamani(Vintage) 35,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Ukiona wameanza kusema unajisikia na unakiburi, jua tayari umeshaset atandards na priolities zako vizuri 📌👊🤝
Mwenyezi Mungu akupe nguvu ya kupambana na yale yote ambayo huwezi kumueleza yeyote 🙏🏾🙏🏾
FOOTBALL TIPS ⚽️⚽⚽ 🌷SAFE/BANKER ODDS 🖍DON'T MISS 🖍STAKE HIGH 🖍BOOM HIGH 💥Odds 350+++ 🌷Edit, flex.... KAMPUNI NI #DBbet Huna account? Jisajili (Register)👇 Link 👉 url-shortener.me/2EMO 🌺Promocode Andika: MZUNGU 🌷Booking Code 👉 KM663
Na mimi siwezi pitwa na challenge ya nickminaji, Kwa namna yoyote Ile😹 Unanipa max ngapi😝
Inahitajika SUBRA na UVUMILIVU hadi pale INSHALLAH itakapo badilika kuwa ALHAMDULLILAH
Binafsi namshukuru sana Elon kwa kukaza maokoto, hii ilikuwa platform ya UE, kubwa ni miswali mfululu😂💔. Tujikaze tutafute hela tuache janja janja yani utuulize maswali upate hela? We madaqo ya bata nini😂
Mara ooh Mimi siaminigi kama uchawi upo ✍️ Aloo hujapita tu kwenye Rada Yao utakuja kufurahi🤣
Kwenye Mauzo , Watu Wengi Wanapitia Hii Anthophobia – Fear of REJECTION This Fear Makes People Hesitate To Pitch Or Follow Up. Hili Ni Janga.
Kama unamiliki moyo ulio pasuka ni vigumu kutunza vitu vilivyo tukuka........ Unapo muomba MUNGU vilivyo bora usisahau kumuomba hekima na busara maana kila kilicho bora kina udhaifu wake
T-shirts zipo 18000 tuu💯📌✅ Delivery ✅🚚 mikoani tunatuma WhatsApp 0753103048 Kindly repost 🙏♥️
"Unaumizwa sana maishani kwasababu umekosa hekima ya kuruhusu nani aingie na nani asiingie moyoni na nafsini mwako. Kila mtu umemruhusu azame ndani yako na leo huishi machozi. Jifunze kuweka mipaka" ~ ChrisMauki ~
Leo tulikuwa tunavuna shamba moja hivi tukakutana na haya matunda tumeyavuna balaa hadi mwenye shamba kajuta mchana wangu leo umekuwa safi.
Wakati mwingine tunafeli si kwa sababu hatuna uwezo, bali kwa sababu hutujioneshi. Ukijificha sana Dunia haitajua thamani yako.✍️
Kwa Marafiki zetu ambao wamegeuka kuwa ndugu sasa, Shida zetu shida zao, Furaha zetu Furaha zao, Mungu awabariki kwakweli🙏