Daktari Wa Manesi 💉💊
@McinikaWaLamar
💼 Social Media Guru| Influencers Manager | Content Creator | Sensei | Digital Strategist | Master Mind
Kama Unawasaidia Wazazi Wako Na Familia Kwa Kile Kidogo Ulichobarikiwa, Mifuko Yako Ibarikiwe Na Isikauke Kamwe 🙏🏼
Kama mwanaume, asilimia 97% ya msongo wa mawazo yako inapaswa kuwa kuhusu pesa au kazi, si kuhusu nani haongei na wewe.
Ukitaka kufahamu tabia halisi ya binadamu iliyojificha mpe cheo, Pesa au umaarufu
Gharama ya tiba hii ni Sh. milioni 75 kwa mtoto mmoja, lakini bado ni nafuu ikilinganishwa na nje ya nchi (milioni 120–150). Serikali imefadhili 20 kati ya watoto 21 waliotibiwa, lakini bado changamoto ya upatikanaji kwa wote ni kubwa. #RaiaMakini @policy_F @InstituteWajibu
BMH inahudumia watoto wenye Selimundu umri kati ya miaka 4–12 kwani tiba inafanya kazi zaidi kwa kinga changa. Watoto wanaoanza matibabu mapema hupona haraka na hupunguza madhara ya kudumu. #RaiaMakini @policy_F @InstituteWajibu
Mnamo Mei 10, 2023, historia iliandikwa Tanzania: Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ilizindua huduma ya kwanza ya upandikizaji uloto kwa wagonjwa wa #Selimundu (sickle cell). Tiba hii haikuwahi kufanyika EAC kabla. 👏🏼 #RaiaMakini @policy_F @InstituteWajibu
iPhone 13Pro Max 512GB 🔋95% Gold Color Tsh 1,400,000/= tzs NB:Mikoani tunatuma malipo Baada ya kupokea Exchange & Top up allowed 📞/Whatsapp 0683678977 KINDLY REPOST🔥☄️🎉
Woke up broke? Sleep with dollars in your pocket! @noonesapp is giving away $500 daily in a lucky draw just by trading on their app. 👉 Every trade = one chance to win! 📲 Download now: noones.com 👥 @ray_noOnes #NoOnesAirdrop #BuiltForNoOnes
Started the day broke? No worries @noonesapp got $500 waiting for you daily! 💸 Just trade, stay active, and let the bags roll in. Sleep rich, for real. @ray_noOnes #NoOnesAirdrop
Sikujali afya yangu, niliamua kulala na kila mwanaume ili nipate pesa za kuendesha maisha. Baada ya miezi sita tu, nilinasa UTI sugu inayonitesa kila siku.. Kila nikikumbuka nimeacha wadogo zangu kijijini wanaonitegemea, najutia sana maamuzi yangu...💔
Unaamka huna kitu? Unala ukiwa tajiri @noonesapp wanatoa $500 kila siku kwa washindi wa bahati nasibu kupitia trades kwenye app yao! 👉 Fanya trade yoyote, kila trade ni nafasi moja ya kushinda. 📲 Pakua sasa noones.com 👥 @ray_noOnes #NoOnesAirdrop

Hakikisha unamwambia Muajiri au Client % fulani atume nyumbani direct otherwise utakuwa unasema nitakuma week Ijayo, nitatuma week ijayo... Cc; @McinikaWaLamar
Ajira inayokutaka kusafiri mara kwa mara >>>>>>>>
Zawadi ya kila siku inakusubiri! 🎁 Trade leo na uweze kujishindia hadi Tsh 1.3m kila siku. 📲 Pakua App: noones.com #NoOnesAirdrop
@betPawaTZ imevunja rekodi tena barani Afrika! Aviator imelipa zaidi ya TZS 2.9 Bilioni kwa washindi shujaa kutoka Ghana, Cameroon na Zambia. Dau dogo tu limeleta ushindi mkubwa zaidi wa kihistoria na sasa unaweza kushinda hadi TZS 650M kwa raundi
Have you been to Prison Island? Or is it on your list? When you visit you will get a chance to learn more about these giants. 📍Prison island, Zanzibar
Historia imeandikwa Afrika! @betPawaTZ imelipa TSh 2.9 Bilioni kwa raundi moja ya Aviator ushindi mkubwa zaidi barani Afrika! Washindi kutoka Ghana, Zambia & Cameroon walibadilisha maisha kwa dau dogo tu. Kama haitoshi, walipata: ✈️ Safari ya kifahari Accra #betPawaBIGWinners
Fursa haingoji mtu! Wahi usajili wa #Instaprenyua2025 mapema kabisa! Bi. Joseline Kamuhanda, Mkuu wa Kitengo cha Masoko @CRDBBankPlc, anakukaribisha rasmi kwenye jukwaa la kipekee kwa wafanyabiashara wa mtandaoni. 👉 Usajili ni BURE kabisa: crdb.tz/instaprenyua
Tafadhali repost na wengine waone Mali🙏 Hapa ni @suitmseleleko chimbo la uhakika kwa mahitaji ya suti kali na original kwa 180,000 tu (three pieces suit) 📍: Msimbazi kariakoo, Mtaa wa Mchikichi na Manyema (Nyuma ya jengo la club ya simba) 📞 0762617089 Delivery uhakika
Temekeee. Karibuni @softfinancetz tandika stendi karibu na CRDB Bank upate huduma za mikopo na ushauri wa fedha. #MpangoPesa
Stress za maisha ni nyingi kodi, ada, mzigo wa biashara, ugonjwa ghafla… lakini suluhisho linaweza kuwa rahisi kuliko unavyofikiria. Badala ya kukaa na mawazo mazito, kuomba omba au kukopa kwa masharti magumu, chukua hatua sahihi leo. @softfinancetz inakupa mkopo wa haraka kwa…
