Trojan Horse 🎭
@anon_codex
💎Multi-talented Proficient and creative | Software Developer | Mobile App dev🎭
No need to dine out when the Chef lives here. 🤭🧑🏾🍳✨ #CookingWithHappiness
Janjaaa 🫵🏾 utafute boyfriend sasa nimechoka kila siku kukuletea zawadi 🫵🏾 ila asitoke hukuu kwa vijana wa hovyo
Dogo @anon_codex hapa naiona hela niamini mimi😂😂……btw thanks 😊🫂
Dogo @anon_codex hapa naiona hela niamini mimi😂😂……btw thanks 😊🫂
Sasa nimeona vijana wawili humu X Wana madini mengi @SharonMontana20 na @anon_codex
Wajiriwa pesa ya mwezi huu usiendekeze hanasa 🫵🏾 Acha kutoa wanawake out ambazo hazina faida kwako kumbuka hakuna mwanamke ana huruma na pesa zako 🫵🏾 Jipende
Naaaam naaaam umekula uero 500 kilaini Achana na gaby anapiga kelele huku kila kukicha 🤣🤣🤣🤣🫵🏾
Trojan ashanifunza namna ya kuingiza pesa kutumia laptop 🫵hapa Leo nishaingiza £500 nimemtumia Mama Sharon £304 nibaki na 200 niendelee kuwasema Waajiriwa 😂Pigia Yesoooo Makofi 👏
Trojan ashanifunza namna ya kuingiza pesa kutumia laptop 🫵hapa Leo nishaingiza £500 nimemtumia Mama Sharon £304 nibaki na 200 niendelee kuwasema Waajiriwa 😂Pigia Yesoooo Makofi 👏
Mimi siwezi fanya hizo mambo babu sio mambo yangu Mm zenji nimenda kula bata sehemu zangu malumu The rock Prison island 🏝️ Nakupenda beach Fumba town Xanadu 🫵🏾 janja mm sio mwenzako tukunae next month Nungwi
Trojan kweli wa kishumundu mtoto wa kiume unaenda kuogelea kulisha kobe Zanzibar?
I tried using Bootstrap today on my Laravel project, but I still couldn’t get the design I wanted it still looks very basic 😅😅 Let’s switch to Tailwind CSS 🥹
Kaka mimi ni mtu wa mazoezi Mwili wangu kila mtuu anautamani kaka 🤣🤣 ahahahah
Mkewako anafanya kazi kubwa kukupikia vizuri, lakini mwili wako hauna shukrani.
Wajiriwa Hi 👋 Mmeshafika ofisini ? Au bado mpoo kwenye daladala foleni ni kali ?

Thamani ya mtu inatokana na kibali cha Mungu ndani yake.🙏🙏 Mithali 3:4
spent a couple of months working on validating our hardware pipeline and software stack, it’s far where i want it to be but good enough to be tested. the v1 is on it’s final steps, it supports both fleets and individual usecases. buy it, drive with it and lmk what you think ..
The beauty you see in anything is a reflection of the beauty in you. 📍 Mtema, Kyela 🇹🇿
Wajiriwa mmeamka ? kuna wale wapambe wa boss acha hiyo tabia kuchoma wenzako kwa boss🫵🏾 hiyo ofisi sio ya baba ako mdaa wowote unaishia 🫵🏾🫵🏾
Naomba namba za huyu dada nimuweke hela ya supu asubuhi hii kaka Natanguliza shukrani 🙏🏿
Ushemeji kazi sana :🤔🙂
🫵🏾😀
Nna furaha isiyo na kifani Lastly Mungu kajibu maombi yangu ya kazi, Nmepata kaz nlosomea na nmepangiwa mkoa ambao nlikuwa nauomba 🙏🙏🙏🙏. Nna furaha sana 🥳🥳🥳🥳🥳
Hi Guys! We just opened our Airbnb Byran Living in Moshono, Arusha 🏡. Able to accommodate 4-5 people, perfect for short stays with friends or fam! You can book us through: airbnb.com/l/7GJk7CiL Or +255 621 268 453 Pull up, relax and feel at home💕